Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Unaposema mimi ni tapeli, Umekaa na mimi nikakufanyia utapeli?

Mkuu tutoe doubt hata na kapicha tu ukiwa na mizigo yako watu waamini..

Mjini siku hizi kila mtu mwizi kuanzia watoto hadi wale wanao omba side road, sasa wewe ambae hadi una acc JF lazima watu wawe na mashaka na wewe.. Kuwa mpole
 
Asante sana kwa kututhibitishia kwamba sio tapeli hata mm nilihisi km hatanii. Mungu atamfanyia wepesi apate kazi soon.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama utaweza njoo hapa msasani opp na shule ya IST. Tuonane. Unambie umevaaje. Huku sijui wanapanda gari za wapi.sijawah panda.anayepaelewa amwelekeze akifika hapa nikaongea naye ntajua nini cha kumfanya
 
uandishi wako hasa kwenye uzi huu unasadifu kabisa kama sio tapeli basi ni mpuuzi fulani aliyeamua kusumbua watu...kwa heri
 
Dah...
Kumbe issue ipo serious hivi...

Tatizo washatokea watu wengi aina hii, mwisho wa siku unagundua ni wazinguaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama utaweza njoo hapa msasani opp na shule ya IST. Tuonane. Unambie umevaaje. Huku sijui wanapanda gari za wapi.sijawah panda.anayepaelewa amwelekeze akifika hapa nikaongea naye ntajua nini cha kumfanya
Mkuu unataka kumfanya nini huyo dogo?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah hii kali sana yule jamaa member jf shoga alitaka kutuharibia kijana wetu dah kweli dunia haina huruma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…