Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inalipa sana,mtaji ni kinyesi chako tu.
Wewe usiku huu nimekwambia tafuta msikiti au kanisa hapo barakuda kalale humo kesho kukikucha unajipanga upya pesa umetumiwa hivyo kula ulale kati ya moja ya sehemu hizo nilizokushauri dogo hizo ni nyumba za ibada watakupa msaada tu. Unless uendeleze ubishi maana nasikia watu wa kigoma wabishi sana
Saaafi...maana wa barakuda kimyaaPanda gari zinazoenda Gongo la mboto halafu shukia Ukonga Mombasa.Me nitakupokea stand hapo.Ukifika ni PM
MkuuHujakosea. Ulipaswa kumualert hata kabla hujaanza safari na ikiwezekana ungemualert kila baada ya dakika chache. Huwez jua hapo Barakuda ni kazini kwake na sasa amesharud nyumban bila kukujulisha aidha baada ya kuona haufik au kwa kusahau tu. Kutojibu PM inatokana na yeye kutokuwa online au sababu nyingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu kama vipi tuungane... Naendelea hapo chini[emoji3][emoji3][emoji3]kwaiyo na ww ndo unaeka kibwagizo cha naendelea apo chini
HahahahahahaVijana wa Dar mnashindwaje kujioganize vijana watatu mpaka wa tano muonane na huyu kijana muongee naye na kuridhika kama asemayo ni kweli?
Mim sipo Dar ila kama anayosema ni kweli nipo tayari kumsaidia pesa kidogo sana ya kuendelea kujikimu na kama ni tapeli pia nitahakikisha atalala kituo chochote cha polisi kilicho karibu na yeye.
Nipo serious mtoa mada nitafute nikupe nilichokuahidi au mahabusu.
Situmii menu ya mwanaume wa darKaribu menu
Boss kwani we kigoma ulikua una ujuzi gani na kwanini umekuja dar...maana naona kama series hii,,,.,af jana ukipata msaada wa shoga...uaipoangalia usijegeuzwa weye...ila sio ishu kwaku ulimkarim jana shoga kalale kwake...au tafuta waha waliotangulia kuja mjini huwa wanakuchangia nauli ukaanze upya
AiseeePanda gari zinazoenda Gongo la mboto halafu shukia Ukonga Mombasa.Me nitakupokea stand hapo.Ukifika ni PM
Mjinga tu ww, hunipotezei muda.Jamii Forum hakuna msaada kaka!
naona bora niende mtaani kujieleza! Ili kama ni kusaidiwa, nisaidiwe na wanao niona jinsi nilivyo. Hapa JF Ni watu wanapiga stori tu na kupotezeana muda.
Ni mambo ya kijinga kweli. anatokea mtu anasema mimi ni Tapeli/muongo, Kweli? Yaani mtu hujakutana na mimi, halafu unasema mimi ni tapeli? Sawa jamani, nawashukuruni kwa maoni yenu kwangu.
Ngoja nipambane na hali yangu. Asanteni sana pia kwa kunipotezea Muda.
Hilo jina lako sasa mkuu. By the way naendelea hapo chiniPanda gari zinazoenda Gongo la mboto halafu shukia Ukonga Mombasa.Me nitakupokea stand hapo.Ukifika ni PM
[emoji23][emoji23][emoji23]haina nomaah[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu kama vipi tuungane... Naendelea hapo chini
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa hogo ungesema hilo ndio huwa linanishibisha haraka[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Situmii menu ya mwanaume wa dar
Unaonaje ukampatia namba yako PM?Panda gari zinazoenda Gongo la mboto halafu shukia Ukonga Mombasa.Me nitakupokea stand hapo.Ukifika ni PM
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nimecheka sanaHuyu ndo Muha aise alietoka kigoma toka majuzi mpaka Leo na anaomba msaada lakini
1;simu yake haiishi chaji toka tarehe moja jioni mpk Leo tarehe 4 na anaendelea kudunda NATO
2;amefika na tsh 1,400 lakini simu yake ina bandle na yupo online mda wote
3;ni muombaji msaada pekee ambae ameishia darasa la saba tena la kigoma lakini anajua vizuri kujieleza tena kwa kiswahili fasaha na kuelewa comments zote hata za kiinglish
4;ndo muombaji msaada pekee ambae hataki kuonana na wanaemwambia akutane nao kuanzia Valentine, barakuda,kona bar nk
5; ni muombaji pekee ambae anawaita akili kisoda watu wanachallenge kwa maswali
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umepata msaada halafu unajadili jina nalotumia JF? Kumbe hauko serious mkuu,me nilitaka nikupokee uje Lunduno kuna nyumba wanakaa vijana wengi ujiunge nao maisha yasonge halafu wewe unauliza jina.Nilijua ungeniomba namba ya simu