100 Likes
JF-Expert Member
- Nov 5, 2018
- 2,416
- 5,165
Nimeshafika hapa, jamaa alisema nimtafute, ajabu hata PM Hataki kunijibu.
Usipanik, JF PM siyo kama meseji ya simu kwamba anaona papo kwa pao, ni mpaka a-login ndo ataona.
Mpe kama saa moja, ukiona kimya tafuta gest ya kulala hukohuko ya sh 8,000/-, kesho asubuhi atakuwa ameshaona. Atakutafuta. Usilale nje, kwenye hela ulizopewa toa sh 8,000 upate pa kulala kwa usalama.