Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo jaribu kunisoma vizuriii. Me mtetezi wako tangu ukiwa Itigi. Hapo nilikua nawashangaa jamaa zangu.
Jamaa anatumia ID ya Tripp:Tayari nimeshuka Balakuda hapa, Jamaa hapatikani, Nisaidieni jinsi ya kumpata, Maana hata PM Hajibu.
Karibu menuKigoma mwisho wa reli
Ok basi hyo simu inajitahd kutunza moto kwa muda mrefu saana.maana hapa alikuja sa nne,akidai kuwa ndo ametoka kwa yule jamaa ambako alilala jana..na tangu ule muda mpka sasa yupo OnlineMzee kwani simu uliyofungulia account jf ni lazima uendelee kuitumia hiyo hiyo tu?
Kuhusu alikochaji ni kwamba jamaa alipofika Dar siku ya jana simu ilikuwa imeisha chaji ( nadhan ungefuatilia tangu mwanzo ungefaham hili) alipofika Dar akakutana na mtu so member wa jf ambayo akamsaidia sehem ya kulala bila shaka alichaji simu hapo hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulia tu hapo,huenda akajaTayari nimeshuka Balakuda hapa, Jamaa hapatikani, Nisaidieni jinsi ya kumpata, Maana hata PM Hajibu.
Ushaambiwa sio smartphone, ni simu ya Button. Kwa uelewa wangu smartphones ndio zinazomaliza chaji haraka.Ok basi hyo simu inajitahd kutunza moto kwa muda mrefu saana.maana hapa alikuja sa nne,akidai kuwa ndo ametoka kwa yule jamaa ambako alilala jana..na tangu ule muda mpka sasa yupo Online
Ni kweli . Kwa simu aliyosema anatumia nadhan ikiwa full charge ina uwezo wa kikaa na chaji hata siku mbili au tatu.Ok basi hyo simu inajitahd kutunza moto kwa muda mrefu saana.maana hapa alikuja sa nne,akidai kuwa ndo ametoka kwa yule jamaa ambako alilala jana..na tangu ule muda mpka sasa yupo Online
Huyu jamaa ni darasa la saba,
Lkn anajua kum-mensheni mtu,
Anajua kuandika vizuri,
Anajua quote,
Anajua kuacha nafasi baina ya neno nano...
Huyu atakuwa anafanya UTAFITI.
NI MTU NA ELIMU YAKE KABISA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha mkuu na mimi nishakuwa TISS nini?acheni hizo mamboNina wasiwasi pia na hyo ID ya megapixel
Mambo ya binadamu hayo
Umeishia darasa la ngapi MkuuSikia mzee
Kwa bei ya kawaida figo moja ni million 70,uza moja kisha chukua million 40 ka bet, kwa odds za point 2 muwekee Man united (under Ole gunner) win,muwekee Barcelona win.
Baada ya hapo chukua mil 80 zako kwa muhindi,nunua figo kwa mil70 ,utabaki na faida ya mil10+ mil30 (ile ilo baki)=mil mil40.
Mil40 chukua rudi kigoma kalime mawese
Nawasilisha!!
We kaa kimya watu tujae, we inakuuma nini? Mbona una wivu wa ajabu?!? Try to be humble hata kama huweziNaona unajitetea mkuu? Huyu anacheza tu na akili za watu. Naona mnazidi kujaamo. Time will tell
Mwenyewe nilifungua akaunti yangu kwa Nokia Asha 200 so ni jambo linalowezekana.Nilitumiaga Itel ya button na naingia Jf ila account nlifungulia ya button pia 2011.Chaji ilikua 2 weeks
Sent using Jamii Forums mobile app