Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Smart phone yako ni mtaji tosha,usitake kutudanganya unatumia simu ya




button, ili kuwa member jf lazima
umiliki email(haipatikani kwa simu ya button),





Halafu hii kitu kwamba simulizi itaendelea kisa sijui nafasi, ni uongo ili utuaminishe kuwa unatumia simu ya button.

OK,labda unatumia freebasics lakini una charge vipi smartphone yako maana hutoki online,
For your Information... Jana alikua hayupo online na tunaofatilia tukawa tunajiuliza kapatawa na nini mpk wengine wakatania kwamba katekwa, kaingizwa mjini, kaibiwa simu, simu imeisha chaji etc. Leo ndio kaingia online na kuleta mrejesho yaliyomsibu jana! Stop being too Judgemental guys.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee kwani simu uliyofungulia account jf ni lazima uendelee kuitumia hiyo hiyo tu?

Kuhusu alikochaji ni kwamba jamaa alipofika Dar siku ya jana simu ilikuwa imeisha chaji ( nadhan ungefuatilia tangu mwanzo ungefaham hili) alipofika Dar akakutana na mtu so member wa jf ambayo akamsaidia sehem ya kulala bila shaka alichaji simu hapo hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom