Likiwa proved ntakuwa tayari kumchangia mkuu..kutoa ni moyo.Bosi unaonaje ukitulia kwanza ukapata uthibitisho kutoka kwa wadau?
Wewe ni mmoja kati ya watu ambao najua ni wepesi kusaidia, najua hizi ni doubts tu kutoka na self instincts, ukithibitishiwa hutasita kusaidia. Mpe benefit of doubt jamaa.
Sawa ile lile jingine najua huna[emoji3]Yote yapo hayo, karibu sana
Wanataka kila anayeomba msaada asijue kuandika vizuri(awe kilaza) mkuu.Bosi unaonaje ukitulia kwanza ukapata uthibitisho kutoka kwa wadau?
Wewe ni mmoja kati ya watu ambao najua ni wepesi kusaidia, najua hizi ni doubts tu kutoka na self instincts, ukithibitishiwa hutasita kusaidia. Mpe benefit of doubt jamaa.
Sawa mkuu nimeelewaSio yeye aliyekuqoute
Thanks!! Hii ndo starehe yangu Mkuu. Naomba nyongezaa[emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867]
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Huyu jamaa ni darasa la saba,
Lkn anajua kum-mensheni mtu,
Anajua kuandika vizuri,
Anajua quote,
Anajua kuacha nafasi baina ya neno nano...
Huyu atakuwa anafanya UTAFITI.
NI MTU NA ELIMU YAKE KABISA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa nimekuelewa,nilijua weweMkuu mimi nina kwangu aisee ninaishi kwangu. Sijaomba msaada humu bado. Umeniquote sawa lakini content yako haindeni na mimi. Mimi si mwenye huu uzi
NAendelea hapo chini...
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo nikija, yawezekana usiwepo, Hapa nitakuwa nimepoteza 1,000 Nzima nzima! Ambayo ingetosha kwa chakula cha siku.
Panda gari zinazoenda Gongo la mboto halafu shukia Ukonga Mombasa.Me nitakupokea stand hapo.Ukifika ni PM
Kwani ulishawahi kulionja[emoji3][emoji3][emoji3]Sawa ile lile jingine najua huna[emoji3]
My young brother aise hukutakiwa kwenda Dar kabla hujajihakikishia malazi, na kazi piaBaada ya kupigana hapa na pale humu JF nikiwaomba mnisaidie hata kibarua ili nipate hela ya kula nitakapofika Dar, Maombi yangu yanaonekana ni upuuzi!
Watu wananiita mimi ni Muongo, na wengine wakasema mimi ni Tapeli!
Treni kabla haijafika Dar, nikalia lia sana hapa JF nikiomba nisaidiwe nitakapo fika, lakini watu wanazidi kusisitiza "eti, mimi ni tapeli" Huku simu nayo imekaribia kuisha chaji, na treni ndiyo imeshafika Pugu.
Simu ikaisha chaji!
Na hapo niweshawafuata watu kadhaa PM hapa JF akiwemo manengelo na wengine wengi.
Wengine wananipigia simu, ila hawaongei, ambao walisema watanisaidia nikifika, wananiambia kwamba wako Safarini, kwahiyo hawataweza kunisaidia.
Mpaka hapo, nimebaki na elfu moja na mia nne tu.
Baada ya kukosa mtu wa kunipokea, nikaanza kuzurura hapa mjini. Nimezurura sana, na begi langu mgongoni huku nikitembea bize kama wenyeji wa mji wanavyo tembea. Naendelea hapo chini, maana hapa simu imefika mwisho wa kuandika, Kwahiyo naendelea hapo chini!
Sema wasalimie vijana wa lunduno hapoSawa nimekuelewa,nilijua wewe
below average, kule kwenye wengiDadekiiiii na ww upo wap average,GT,or below average
Mwamba ukoreal sana sema kuna wehu wanakuzingua!!!Wakuu, mapaka njaa imenishika, nakula kwanza hapa! Karibuni wali maharage.
Tambaa nao mzeee baba/mamaYaani nimeacha kazi zote nafatilia huu uzi
Mie ndo mpuuzi au hao wanaosema dogo tapeli?Watu wengine wapuuzi sana kwakweli
Homosapiens
Karibu wali maharage kaka!Mwamba ukoreal sana sema kuna wehu wanakuzingua!!!
Maxence Melo huyu kijana mthubutu unamsaidiaje aaminike jukwaani kwako hapa?
Nahisi alikuwa anakazia hoja yako sidhani kama alikuwa ana maanisha wewe ila hao wanaosema dogo tapeli
Shunie umeshindwa mpa hifadhi kabisa?Peaneni no pm kabla hajapanda bus la kuja gongolamboto