Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Bosi unaonaje ukitulia kwanza ukapata uthibitisho kutoka kwa wadau?

Wewe ni mmoja kati ya watu ambao najua ni wepesi kusaidia, najua hizi ni doubts tu kutoka na self instincts, ukithibitishiwa hutasita kusaidia. Mpe benefit of doubt jamaa.
Likiwa proved ntakuwa tayari kumchangia mkuu..kutoa ni moyo.
 
Bosi unaonaje ukitulia kwanza ukapata uthibitisho kutoka kwa wadau?

Wewe ni mmoja kati ya watu ambao najua ni wepesi kusaidia, najua hizi ni doubts tu kutoka na self instincts, ukithibitishiwa hutasita kusaidia. Mpe benefit of doubt jamaa.
Wanataka kila anayeomba msaada asijue kuandika vizuri(awe kilaza) mkuu.

Walitaka awe kama Viatu vya Samaki na hawa ndio ma GT.
 
Baada ya kupigana hapa na pale humu JF nikiwaomba mnisaidie hata kibarua ili nipate hela ya kula nitakapofika Dar, Maombi yangu yanaonekana ni upuuzi!
Watu wananiita mimi ni Muongo, na wengine wakasema mimi ni Tapeli!

Treni kabla haijafika Dar, nikalia lia sana hapa JF nikiomba nisaidiwe nitakapo fika, lakini watu wanazidi kusisitiza "eti, mimi ni tapeli" Huku simu nayo imekaribia kuisha chaji, na treni ndiyo imeshafika Pugu.
Simu ikaisha chaji!
Na hapo niweshawafuata watu kadhaa PM hapa JF akiwemo manengelo na wengine wengi.
Wengine wananipigia simu, ila hawaongei, ambao walisema watanisaidia nikifika, wananiambia kwamba wako Safarini, kwahiyo hawataweza kunisaidia.
Mpaka hapo, nimebaki na elfu moja na mia nne tu.

Baada ya kukosa mtu wa kunipokea, nikaanza kuzurura hapa mjini. Nimezurura sana, na begi langu mgongoni huku nikitembea bize kama wenyeji wa mji wanavyo tembea. Naendelea hapo chini, maana hapa simu imefika mwisho wa kuandika, Kwahiyo naendelea hapo chini!
My young brother aise hukutakiwa kwenda Dar kabla hujajihakikishia malazi, na kazi pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom