Sina uhakika kama ni Muha, Kigoma kuna .makabila zaidi ya Sita so kama ni kumsaidia tumsaidie tu bila kujali kabila lake. Binafsi mpaka sasa naona kama jamaa anatuletea maigizo.hivi humu hamna waha mje kumuokoa muha mwenzenu?humu waswahili wataishia kumkejeli tu!!!!!
Kumbe ni ujiko kumsaidia mtu.Sawa bhana ngoja nitulize kipele changu
Good mkuu,wapo kina shasho hapa wamesoma comment yako ,wanakusalimia pia.
Basi nilijua ni wewe nilitaka nipigie zile namba ulizoweka hapo juu.Hahaha unataka kuanza kushusha mistari nini? kuna mmoja alisema "Deadbody nina ujumbe wako naomba uje PM " nikasema japo nimefunga PM ila ngoja nimfuate.Nikaanza "Hello" akajibu "poa mrembo umependeza",nikaona hapa hamna kazi.Huyu sio mimi na wala hata simjui,nimedownload tu
I'm sorry, narudia tena nisamehe, huyo jamaa alomwambia aende Barakuda kanifanya niandike bila kutumia busara. Nisamehe saba mara sabini.Kumbe ni ujiko kumsaidia mtu.Sawa bhana ngoja nitulize kipele changu
Nitakuja kuwasalimia pande hizo mitaa yangu sana hiyo.Good mkuu,wapo kina shasho hapa wamesoma comment yako ,wanakusalimia pia.
Sawa nimekusameheI'm sorry, narudia tena nisamehe, huyo jamaa alomwambia aende Barakuda kanifanya niandike bila kutumia busara. Nisamehe saba mara sabini.
Wewe wa Moshbar,kwa diwani ,masika,mazizini,markazi,kwa makobe,kwa temba,maduka,chama au kwa mkolemba?Nitakuja kuwasalimia pande hizo mitaa yangu sana hiyo.
Naendelea hapo chini...
Watu wana roho mbayaAkyamama watu dharau mmezaliwa nazo hamjazinunua
Hapana tatizo Mkuu nilikukwoti kabla sijaendelea hapo chiniMbona nilishamalizana na niliyemquote kwa kukosea mkuu.Au kuna tatizo lingine ?
Hahaha sapiens zile naamba kaeka nahisi ni za muhusika wa Lunduno ni centre iliowakusanya vijana na kuwaeka pamoja na kutoa elimu mbalimbali za kimaisha. Sasa we ipige hiyo namba tukupeleke Wakupeleke LundunoBasi nilijua ni wewe nilitaka nipigie zile namba ulizoweka hapo juu.
Homosapiens
HahahaHahaha sapiens zile naamba kaeka nahisi ni za muhusika wa Lunduno ni centre iliowakusanya vijana na kuwaeka pamoja na kutoa elimu mbalimbali za kimaisha. Sasa we ipige hiyo namba tukupeleke Wakupeleke Lunduno
Naendelea hapo chini...
Ahsante kwa chakula mkuuWakuu, mapaka njaa imenishika, nakula kwanza hapa! Karibuni wali maharage.
Asante kwa mchango wako but ukijaribu kunisoma vizuri utagundua sikua na nia ovu au wivu kama unavyodhani. Lengo langu lilikua ni kuacha kumsumbua kijana wa watuMkuu hayo ni majibu ya third party, siyo kila mmoja anafurahia kuona mwingine anasaidiwa au anafanikisha jambo.
- Kumbuka wimbo wa Bahati Bukuku wa "Unapoianza safari wakatakutia moyo, unapoonesha mafanikio watainua vikwazo, siyo wote wafurahiyao mafanikio yako".
Tuelewe binadamu.
Sawa mkuuHapana tatizo Mkuu nilikukwoti kabla sijaendelea hapo chini
Anzia transforma mpaka mazizini mitaa niliyokulia hiyo. Ila huko kwa mkolemba markaz moshi bar kote nimechafua. Kama unaujua masjid Nassor ule msikiti wa pale mazizini nimepiga sana adhana pale allah akbar kama zotee. Uwanja wangu wa mpira ni pale godzilla japo sasa hivi kanisa wameuchukuwa uwanja.Wewe wa Moshbar,kwa diwani ,masika,mazizini,markazi,kwa makobe,kwa temba,maduka,chama au kwa mkolemba?
Nakazia wote waliotoa pesa zao na wanaoendelea kumuamini huyu tapeli wameliwa.Nimesoma huu uzi kwa makini,nasikitika kusema huyu jamaa ni tapeli na hawezi kukubali kuonana na mwana jf yoyote..ukiangalia kwa makini amekuwa ni mtu wa kukwepa kuonana na wana jf kwa akili sana