Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Ushapajua na Jangwani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya sasa, team inazidi kuongezeka!
Namna hii mtawakamata wengi wasiojitambua, wewe pia ni Tapeli mwenzake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo, utakuwa masikini sana kama nawe unashida lete usaidiwe, kingine sina haja ya kuwa tapeli maana nna hela na pia ninatoa sana kwa wenye shida ndio maana njlimfuata na kumsaidia, idiot!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila team yangu ya nyumbani ilikuwa UJENZI pale kanisani kwa Temba
Maelezo yako na Avatar yako haviendani, avatar ya kike maelezo ya kiume.


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…