[emoji23][emoji23][emoji23]ww unakuwaga ume[emoji481]??[emoji23][emoji23]mbn unamix madesa sana
Shemeji
Ila kuna jamaa tulisoma nae chuo kikuu juzi kati buana,alikua simple na anavaa hata ndala,Cheo nilichomkuta nacho TISS niliogopa,Tanzania shikamoo.Usitamke baya kwa usiyemjua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushapajua na Jangwani?Jamaa huyo (Nadhani ni shoga)
Akaniuliza, unaweza kufuga kuku? Nikamwambia ndiyo, (kwa furaha kubwa) Akasema, kuna mama wa kichaga wiki mbili nyuma alikuwa anahitaji kijana wa kuhudumia kuku, kwahiyo kama uko tayari jioni uje nikupeleke kwake!
Hapo nikafurahi sana, tena sana, maana napenda sana kuhudumia kuku!
Basi tukaenda mpaka kwake, aise jamani nyie acheni, kumbe yule jamaa ni shoga kweli, nimefika kwake, mambo ya kunisaidia kuipata ile kazi ya kuhudumia kuku yakaisha, mala akaanza kunisifia kuwa nina maumbile mazuri, mala sijui nini, mambo mengi kweli, (Rejea mwanzo alivyokuwa anamsifia yule teja pale jangwani) Sasa jamaa mala anasema, eti, unavaa suruali saizi gani? Kuna suruali nataka nikupe, hebu simama hapo nikuone kiuno chako!
Sasa mpaka hapo, mimi nikawa nimeshagundua wazi huyu ni Shoga. Ila kwakuwa jamaa ni laini sana, sikuwa na shaka, maana mimi ni kijana mwenye nguvu, na yeye ni laini tu!
kwahiyo akiniletea ujinga, lazima nimzibue! Simu haiwezi kuandika maneno mengi ,naendelea hapo chini.
Abeeh shemeji akee mzima wewe
Naona umeanza kuwashwa NDUMKU.Tuliza upele ww inakuuma nn hata Kama wametapeliwa. mkuunduguyako nn[emoji35]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa JF nimegunduaga mada za kiwaki ndio zinapendwa na watu wengi. Nimegundua pia JF GT ni wachace labda asilimia 5-8 ya members wote. Zilizobaki wengi ni below average minds labda kama asilimia 60 hivi, na hao asilimia 32 wengine ni average minds.
Dogo, utakuwa masikini sana kama nawe unashida lete usaidiwe, kingine sina haja ya kuwa tapeli maana nna hela na pia ninatoa sana kwa wenye shida ndio maana njlimfuata na kumsaidia, idiot!Haya sasa, team inazidi kuongezeka!
Namna hii mtawakamata wengi wasiojitambua, wewe pia ni Tapeli mwenzake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes, Mama Yako kanilewesha mkuu. Leo atalala kwangu.Vipi mkuu mbona kama umelewa.
Homosapiens
Niko powa shemeji yangu makini kabisa nafurahi kukuona hapa
Mkuu dogo siyo tapeli msaidie apate pa kulalaKaribu sana mkuu.Lunduno kuna chumba cha kukaa huyu dogo ila sasa watu waliopitia replies zake wanasema ni tapeli.Sijawaamini na hata dogo pia sijamwamini ila akiwa mwaminifu kule kulala sio shida
Maelezo yako na Avatar yako haviendani, avatar ya kike maelezo ya kiume.Ila team yangu ya nyumbani ilikuwa UJENZI pale kanisani kwa Temba
Basi sawa mkuu,mama yako pia nipo naye hapa hii siku ya pili sasa.
KumbeMaelezo yako na Avatar yako haviendani, avatar ya kike maelezo ya kiume.
Ndukiiiii πββοΈπββοΈπββοΈ
Huna kitu Tapeli tu.Dogo, utakuwa masikini sana kama nawe unashida lete usaidiwe, kingine sina haja ya kuwa tapeli maana nna hela na pia ninatoa sana kwa wenye shida ndio maana njlimfuata na kumsaidia, idiot!
Sent using Jamii Forums mobile app
Napata mashaka na uyu mgeni wenu kutoka kigoma, yajayo yanaweza kuchukiza,Silali mpaka nione ibrahim pasha ananyogwa kwenye hii tamthiliya
Mbona ni kama hakuna aliyekuuliza?Silali mpaka nione ibrahim pasha ananyogwa kwenye hii tamthiliya
Nimefurahi na mm shemeji yangu kukuona