Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Tatizo kumuamini mtu ni changamoto kwa ulimwengu huu,mnaweza mkajifungia ndani usiku akawamaliza au yeye akawa na matatizo yake ya kiafya akafia ndani na kuwa janga.Inapotokea kuna ugeni wa namna hii ni bora kutoa taarifa kwenye serikali ya mtaa.

ni kweli mkuu ila.mm huwa sifikiriag huko kbs eti yaan ningekuwa dar huyu leo ningempokea fresh station..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…