Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Mkuu huyo muongo nimemwambia anipe namba hajanipa wala kufika kweli anacheza na akili zetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko stendi hapa sijui nipande magari ya wapi?!??
mbona namba za simu aliwek tok siku y kwanzankuondoka kigoma?hutak kumsaidia ni bora uvunge..sasa ww na yy nan tapeli
sikumbuki mkuu uzi toka juz unatembea siwez kumbuma fukunyua utaona
sikumbuki mkuu uzi toka juz unatembea siwez kumbuma fukunyua utaona
Angalia na yangu mkuuNaona ID nyingi za wanaomsupport zimejiunga Jf January 2019!!!
Akili Kichwani.
Tuendelee...
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko stendi hapa sijui nipande magari ya wapi?!??
na yangu aiangalieAngalia na yangu mkuu
So kweli, Mimi ni member toka 2011Baada ya kushituka usingizini nimeendelea tena kufuatilia kwa ukaribu hii mada..
Nimegundua kuna ID kadhaa mpya,zinatumia Nguvu kubwa mno kumtetea mleta mada..yaan hawataki watu wa reason pale wanapo hisi harufu ya utapeli..
Naendelea kufuatilia kwa ukaribu mwisho wa hii thread..
So kweli, Mimi ni member toka 2011
We jamaa shika adabu yako!Sisi hatujaanza kuhama kigoma leo.Tangu enzi za utumwa tuliamishw kutoka kongo nk kuletw kigoma na sehemu mbalimbali za dunia.watu w kigoma wamehamiaDar na miji mbali mbali wakati makabila mengine yakiwa maporini sana ndio maana ni watu w kigoma walioweza kumiliki maeneo sehemu kama kariakoo, miji yote ta mwanza, Tabora, Morogoro nk.Acha kutukana watu waliokuzidibakili tangu zamani.Lengo la thread hii kudharirisha Waha.
Pia ili wimbi la Wahi kuhama Kigoma na kukimbilia Dar na sehemu zingine limekuwa kubwa mno
Hii picha kapigwa akiwa kwenye gari ya mega pixel akipelekwa kituo cha daladala. Tuliza roho mbaya yako watu wamsadie kijana. Hata matapeli wanastahili msaada, kuna watu wamejitokeza na kuapiza kuwa akileta usaniii labda ahame nchi, watamsakua mpaka arudishe pesa za watuAliye mpakia kwenda barakuda na anamtetea kweli kweli I'd yake mpya ya 2019 katuma na hiyo picha yake dogo yupo ndani ya Gari swali yangu ww mpiga picha je ile Gari ni dala dala au private car?maana kwenye picha kuna mambo unaweza kuya soma.View attachment 986346
Ile thread iliyokuwa inatembea kwa kasi jana imefutwa?hahaha sio aje kwangu ww naye unataka nivuruga makusudi..wajua dar nna sisy eh..ntaweza mshawishi akae ht week 1 pale.lol!
Yeah Mods wameifuta..