Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Mkuu, wewe umejitambulisha, ila walio wengi, japo sio wote, Hawajitambulishi. Naimani mama umenhelewa, na muda huu huyu mwenyeji wangu ameniambia twende kazini kwake. Asanteni
Waooohh!! Mungu Ambariki mwenyeji jamani.
Ana roho nzuri sana! Ukifika kazini huko sasa jitume[emoji23][emoji23]onyesha nia ya kazi hata kama haujaajiriwa mkuu.[emoji123][emoji123][emoji123]
Asubuhi njema
 
Mbona waliokula tako hilo bichi la kigoma na vumbi lake huwatajiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
hahahaja nimelala saa 7 hv mkuu..bado nipo safarini mkuu..
endelea hapo chini[emoji23][emoji23]
Uzi wameufyekelea mbali naona wameuunganisha huku kwenye treiler ya series yetu episode ya leo tungejua kama jana alipelekewa maji ya kuoga na kupikiwa wali.... Sijui nini kiliendelea jana usiku kwa mwanaume wa dar na wa kigoma. Unaweza kuimagine eti[emoji23][emoji23] japo kidogo eti....!!

Naendelea hapo chini...
 


πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ww una lako jambo..na km ni mtego au umetumwa siwez kulijibu hiliπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…