Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Ahsante kwa mrejesho mkuu, mimi nilikuwa nasitasita.

 
Mane huyu dogo ni level za TANZANIA ONE nakwambia. Huyo jamaa aliempokea ampeleke kwa ERIC SHIGONGO wakatunge hadithi zile za THE PRESIDENT LOVES MY WIFE.

Naendelea hapo chini...

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚umenivunja mbav mie hahaja ile stry ya shigongo jaman iliuzaaa...dah.hv nado anatunga hadithi?

endelea hapa chini
 
Bado anatunga mkuu ila sio kali kama zile za mwanzo ikiwemo ile MY DEAD BODY IN MY OWN COFFIN. [emoji23][emoji23][emoji23]

Naendelea hapo chini...

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚nahis nilisoma chapter chache hiyo..haya mkuu malizia hapo chini
 
nimekusaka noma nikaona acha niendelee tu hapa Chini,,,,engineer somaa ukoo,,,tupo episode ya ngapii
Hahahah uzi wetu wameufuta wameturudisha kwenye trailer bahana series yetu. Halafu wewe jana ulillala mapema sana why???

Naendelea hapo chini...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…