Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Nilichogundua jamaa ni kweli anahitaji msaada tumsapoti kwa nguvu zote.....(no more drama)

Sent using Jamii Forums mobile app
On contrary.. nadhani umewasilisha ujumbe wako kwa busara na kiutu uzima lakina kuna jambo zaidi umeligundua ambalo ni negative na umeamua usiliweke hapa kwa maslahi mapana ya mashabiki wa mleta uzi

As cor me, from HR point of view naweza kusema yafuatayo

Kwanza mleta uzi ni mtu wa majigambo na asieweza kujishusha...unajua the way mtu anavyorespond kwenye baadhi ya comments na reactions zake towards wale anaowaomba msaada unapata kumsoma na kujua kiwango chake cha uvumilivu

jamaa hapendi kukosolewa..i mean negative comments kutoka hapa jamvini na kwa maana hiyo hana uvumilivu...napata. mashaka kama ataweza kujishusha kwenye ajira atakayoipata na kukubali kuelekezwa,kujifunza na kubwa zaidi kujifanya mjinga alimradi atimize malengo yake

Mengine ntaendelea hapo chini



Sent using Jamii Forums mobile app
 
On contrary.. nadhani umewasilisha ujumbe wako kwa busara na kiutu uzima lakina kuna jambo zaidi umeligundua ambalo ni negative na umeamua usiliweke hapa kwa maslahi mapana ya mashabiki wa mleta uzi

As cor me, from HR point of view naweza kusema yafuatayo

Kwanza mleta uzi ni mtu wa majigambo na asieweza kujishusha...unajua the way mtu anavyorespond kwenye baadhi ya comments na reactions zake towards wale anaowaomba msaada unapata kumsoma na kujua kiwango chake cha uvumilivu

jamaa hapendi kukosolewa..i mean negative comments kutoka hapa jamvini na kwa maana hiyo hana uvumilivu...napata. mashaka kama ataweza kujishusha kwenye ajira atakayoipata na kukubali kuelekezwa,kujifunza na kubwa zaidi kujifanya mjinga alimradi atimize malengo yake

Mengine ntaendelea hapo chini



Sent using Jamii Forums mobile app
Nina zawadi yako PM fanya kuchungulia. Halafu uendelee hapo chini

Naendelea hapo chini...
 
mkuu samahan huwa napatwa na kaukakasj kusoma jina lako..kwann mwanza mbaya? nahuku wengune tunataman tukaishi huko
Tatizo huna elimu kichwani,, ebu Anglia ulivyoandika ww na nilivyoandika mimi,, we umeandika sentesi,, mi nimeandika jina
 
On contrary.. nadhani umewasilisha ujumbe wako kwa busara na kiutu uzima
Kwanza mleta uzi ni mtu wa majigambo na asieweza kujishusha...unajua the way mtu anavyorespond kwenye baadhi ya comments na reactions zake towards wale anaowaomba msaada unapata kumsoma na kujua kiwango chake cha uvumilivu

jamaa hapendi kukosolewa..i mean negative comments kutoka hapa jamvini na kwa maana hiyo hana uvumilivu...napata. mashaka kama ataweza kujishusha kwenye ajira atakayoipata na kukubali kuelekezwa,kujifunza na kubwa zaidi kujifanya mjinga alimradi atimize malengo yake

Mengine ntaendelea hapo chini
Sent using Jamii Forums mobile app
Namsubiri mtu ameniambia saa nane jioni/alasiri atanipigia anielekeze niende kwake kuhudumia mifugo, atakupatia mrejesho. Kama najikweza au vipi!
Ngoja nitulie, ila, Nitaendelea hapo chini.
 
Namsubiri mtu ameniambia saa nane jioni/alasiri atanipigia anielekeze niende kwake kuhudumia mifugo, atakupatia mrejesho. Kama najikweza au vipi!
Ngoja nitulie, ila, Nitaendelea hapo chini.
Sawa mkuu, we endelea hapo chini wala usiwe na wasiwasi, hii ndio bongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namsubiri mtu ameniambia saa nane jioni/alasiri atanipigia anielekeze niende kwake kuhudumia mifugo, atakupatia mrejesho. Kama najikweza au vipi!
Ngoja nitulie, ila, Nitaendelea hapo chini.
Hayo maneno hupaswi kuyatumia anajikweza maana yake nini kwanini ajikwezwe kwako lengo likiwa nini? Ninakusadia kwa roho nyeupe tukishindwana nakupiga chini naona unaanza shidankabla hata kazi ujapata..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
On contrary.. nadhani umewasilisha ujumbe wako kwa busara na kiutu uzima lakina kuna jambo zaidi umeligundua ambalo ni negative na umeamua usiliweke hapa kwa maslahi mapana ya mashabiki wa mleta uzi

As cor me, from HR point of view naweza kusema yafuatayo

Kwanza mleta uzi ni mtu wa majigambo na asieweza kujishusha...unajua the way mtu anavyorespond kwenye baadhi ya comments na reactions zake towards wale anaowaomba msaada unapata kumsoma na kujua kiwango chake cha uvumilivu

jamaa hapendi kukosolewa..i mean negative comments kutoka hapa jamvini na kwa maana hiyo hana uvumilivu...napata. mashaka kama ataweza kujishusha kwenye ajira atakayoipata na kukubali kuelekezwa,kujifunza na kubwa zaidi kujifanya mjinga alimradi atimize malengo yake

Mengine ntaendelea hapo chini



Sent using Jamii Forums mobile app

Professional analysis.

To add-up, nimekuwa moja ya watu ambao nimemshauri mara kadhaa kutojibu negative comments bila mafanikio, majibu kama akili kisoda, uchumi wa viwanda, nk kuelekea kwa critics ni dalili za ulichosema.

Pia namwona kama ni mtu ana haraka sana kwenye kutoka, ni mtu ambaye usiweke naye malengo ya muda mrefu, hustlers never settle, this is one of them.

Ushauri; Mpaka dakika hii ameshakuwa famous in a way (hapa JF), so akipata kazi aifanye kweli, na ikibidi habari za ku-expose nini anafanya kwa nani zisiwepo (ajitahidi kukomaa na kujifunza kazi).

Ila akipata kazi akaendelea kuhangaika kutafuta kazi tena atajikuta anahama hama kabla ya kushika kitu cha maana, ajiwekee malengo. Vinginevyo atajikuta anaingia kwenye matatizo.
 
Hayo maneno hupaswi kuyatumia anajikweza maana yake nini kwanini ajikwezwe kwako lengo likiwa nini? Ninakusadia kwa roho nyeupe tukishindwana nakupiga chini naona unaanza shidankabla hata kazi ujapata..

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu amesema mimi ninajikweza, ndiyo maana nikamwambia kuwa, mwenye kazi ataleta mrejesho hapa, kama ninajikweza au sijikwezi. Naimani nimeeleweka hapo. Samahani kwa kunielewa tofauti. Asante!
 
Kurunzi habari mkuu, nafikiri kuna watu walisema kuwa dogo anajikweza, naye ndo akajibu hivyo hakumaanisha wewe, ila mkuu nakuomba msaidie dogo unapoweza na umuelekeze pia ila usianze kumtilia mashaka mapema kabla hamjaonana.

Huu uzi naufatilia sana kimya kimya.

Ninachoweza kusema dogo ana uthubutu wa hali ya juu na katumia vizuri forum hii kutimiza ndoto yake ya kufika dar na kupata kazi.

Hayo maneno hupaswi kuyatumia anajikweza maana yake nini kwanini ajikwezwe kwako lengo likiwa nini? Ninakusadia kwa roho nyeupe tukishindwana nakupiga chini naona unaanza shidankabla hata kazi ujapata..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom