Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane


Umesomeka.

Hapa chini kuna post yake kwenye thread ya mtu aliyekuwa anaomba msaada, nimeweka na link ya thread.

Wenzio tunaomba kazi, wewe unaomba hela! Utaliwa jicho mkuu!

Nakufa njaa nisaidieni hela ya kula usiku huu - JamiiForums

Ukishasoma toa mtazamo wako hapa.
 

Ulivyomwaga sifa duh!

Akikujibu mwambie I miss her too.

Naendelea hapo chini.
 
Umesomeka.

Hapa chini kuna post yake kwenye thread ya mtu aliyekuwa anaomba msaada, nimeweka na link ya thread.



Nakufa njaa nisaidieni hela ya kula usiku huu - JamiiForums

Ukishasoma toa mtazamo wako hapa.
Hahaaa nimeiona ilibidi jibu la Dogo lilinifurahisha sana.

Dogo yupo sawa waweza kusaidia mtu chakula akatimiza haja yake ya muda huo baada ya hapo atahitaji tena.

Bora umpe mtu ndoano akavue samaki wake kuliko kumpa samaki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hy mtoto anaandikaga poa sana yaan ana kaucomed fulan hv😂😂mfatilie threads zake tulipendana akaja pm akanitumia pics..mdoli huyu hapa kazuriiii😂😂😂kaarabu😊😊

Asante kwa maelezo aisee.

Utamsalimia.
 
Umesomeka.

Hapa chini kuna post yake kwenye thread ya mtu aliyekuwa anaomba msaada, nimeweka na link ya thread.



Nakufa njaa nisaidieni hela ya kula usiku huu - JamiiForums

Ukishasoma toa mtazamo wako hapa.
Ndo maana nilisema from HR point of view huyu mtu ni wa kujikweza na kujiona mjuaji, mtu ana shida pengine ana kazi isipokua amekama kwa siku moja kweli unaweza kumjibu hivyo, huyu aise ajiangalie sana, ye mwenyewe katoka kigoma kwao kwa kubangaiza halafu anamletea nyodo mwenzie mwenye shida, anajiona ameshawini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana mkuu! Dogo namtete kwa hiyo reply yuko sahihi na siyo reflection ya kujikweza.
Tafsiri ya jibu lake ni kwamba ktk kutafuta suluhisho ya matatizo uliyonayo kama unalipeleka kwa watu basi peleka tatizo lililokubwa ambalo kutatuliwa kwake kutamaliza matatizo yote madogomadogo.
Huyo alieomba hela tatizo lake la msingi ni kipato cha uhakika. Sasa kwanini asieonyeshe potential yeyote aliyenayo ili watu waone watamsaidiaje?

Nimekubali dogo ni darasa la saba msomi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

naunga mkono..sijui kwann watu wamemshupalia hvyo😏
 
Hiyo HR point of view isiwe ukomo wako wa kufikiri. Umeanza kuizungumza muda sana katika uzi huu.


Usipojiangalia tutakuweka kwenye kundi la malimbukeni. Period

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu na mimi naomba tubadilishane
 
Finaly Dogo aise amepata kazi hivi ninavyo zungumza anahudumia mifungo, so far namuona ameifurahia kazi yake na namuona yupo na spirit ya kazi yupo comfortable kafurahia mazingira tuombe Mungu apambane na kazi kwa bidii na uaminifu mkubwa Mungu atamunyooshea njia.

Nitoe shukrani kwa Member wote wa JF walimpigania ili kutimiza lengo lake bila kujalisha waliomtilishaka ama ala kwani huenda kuna kitu atakuwa amekipata na kujifunza yeye binafsi.

Natumaini atakuja hapa kutoa mrejesho yeye mwenyewe.

Asanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunashukuru kwa mrejesho mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa mrejesho mujarab kabisa.
La nyongeza ni.... ebu mshauri kijana aepukane na lugha zenye hazina staha. Akibadilika na kupunguza ujuaji wa kipuuzi, pengine atafika mbali sana huko mbeleni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…