lwamu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 927
- 1,075
Hadi anaboa kwakweli huyu HR officer,ka wakwanza yeye kusomea hiyo ki2.....Hiyo HR point of view isiwe ukomo wako wa kufikiri. Umeanza kuizungumza muda sana katika uzi huu.
Usipojiangalia tutakuweka kwenye kundi la malimbukeni. Period
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila ki2 "from HR point of view"
Dogo ni mwelewa kuliko hata huyu msomi wa HR.
Sent using Jamii Forums mobile app