Wamezingua kinoma, nasikia wamepunguza mabehewa, moja hiyo, pia wamepunguza mpaka safari za treni kwenda kigoma.
Hapa mabehewa yamejaa mpaka yanatapika, watu hatunyoshi hata vidole.
Dude!!!
Pasaka Kigoma?u must be kidding au labda upo kwenye time travel mode,au stress???[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Hakuna mrejesho wowote, zaidi zaidi hapa niko ndani ya Treni naenda kula Pasaka Kigoma.
Tupe mrejesho sasa Mwaka ndio unaisha..au tusuburi kidogo mpaka tarehe 30 Mwez huu?Hakuna miyeyusho wala migandisho mkuu, kazi kazi!
Hiyo kadi ya chama ulinipa wewe siyo!
Ngoja tuvute vute muda mkuu, mwaka bado haujaisha!Tupe mrejesho sasa Mwaka ndio unaisha..au tusuburi kidogo mpaka tarehe 30 Mwez huu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hasara wewe huna lolote..[emoji23][emoji23]Ngoja tuvute vute muda mkuu, mwaka bado haujaisha!
kule mbal sanaKumbe kigoma mwisho wa mwaka ndio mnasherekea pasaka?
Hongera Sana,Wewe Ni Mwanaume Jasiri.... Mwenyezi Mungu azidi kukufanyia wepesiMapambano yanaendelea vizuri,
Nilikuja sina pa kufikia wala mwenyeji (hili siyo jambo dogo),
Leo hii nimepanga chumba.
Ni hatua nimepiga mkuu ukilinganisha na kipindi kile.
Nakuelewa.... Endelea kukuza Imani kuna siku yako itafika tuNashukuru sana mkuu, lakini hapo kwenye Mungu kwakweli mimi huwa napata ukakasi.
Nakuelewa.... Endelea kukuza Imani kuna siku yako itafika tu