Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

hata wazoefu wa huu usafiri wanasema hivyo. Hapa wengine wameshalala tu, Maana treni haina watu kabisa, sijui kwakuwa ni sikukuu!
kwahiyo tumejiachia tu kwenye siti "tatu tatu!"
 
hata wazoefu wa huu usafiri wanasema hivyo. Hapa wengine wameshalala tu, Maana treni haina watu kabisa, sijui kwakuwa ni sikukuu!
kwahiyo tumejiachia tu kwenye siti "tatu tatu!"
Abiria wakisha lala, jiandae kwa mishuzi tu mkuu...tehteehh [emoji12] [emoji12]
 
hata wazoefu wa huu usafiri wanasema hivyo. Hapa wengine wameshalala tu, Maana treni haina watu kabisa, sijui kwakuwa ni sikukuu!
kwahiyo tumejiachia tu kwenye siti "tatu tatu!"
Tupia kapicha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…