Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Umechukua vyombo na matangazo ya shughuli zetu?pia dawa za kuwavuta wadada wenye pesa na za kuombea hela na kazi na kutuma makombora kwa wajeuri

Treni umeingia gharama,ule ungo wa mzee ungekufikisha nyumbani kwa jiwe
Tumefika kituo cha Rwiche hapa wakuu!
 
Wacha ache mzee aonje matamu ya dunia
Ngoja aje aonje joto LA jiwe KICHAA[emoji41] [emoji116]
tapatalk_1544853514742.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu leo ni siku maalumu, nataka niuanze mwaka kwa mambo mapya! Hapa nipo ndani ya treni nakuja Dar! Na muda mfupi treni ndiyo imeanza safari,
Sina sehemu ya kuaminika ya kufikia, kwahiyo kama utakuwa na kazi, Tafadhali nisaidie, Na elimu yangu ni darasa la Saba 0744472252 Ni namba yangu.
Nakushauri nenda Dodoma kuna fursa nyingi za ujenzi,juzi wakandarasi walijiwa juu na waziri mkuu kwanini kasi yao ya ujenzi ipo chini sana wakandarasi wakajibu rasilimali watu hakuna,kwahiyo kuna uhaba mkubwa tu kwa kazi za ukibarua wa ujenzi
 
Back
Top Bottom