St Lunatics
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 6,644
- 11,174
Hivi mkuu ushawahi kusafiri siku 3 halafu unayajua machovu yake?, akili unaijua inavyo kuruka? Yasikie tu mkuu siku ukienda ugenini utakuja kumkumbuka huyu jamaa. Sisi wengine tumeshakaa airport mpaka TSA wanakuuliza vipi mpango wako, tushafika nyumba za mwenyeji wangu halafu mpambe tu anataka kunifukuza. Mwenyeji akampa mkwala ndio akatulia wewe acha tu yasikufike kaka.1.Kaitwa barakuda, aliyemwita hakujitokeza then akamsubiri akala akamaliza bila mwenyewe kujiyokeza mkuu deadbody kampatia namba apige baadae akasema anampigia akimaliza kula before hajatupa mrejesho anatuambia kuna mtu wa Amemwita mbezi hafu anasema anamtafuta hajibu. Mara mkuu tripp aliyemwita kajitokeza anasema kua hajamwona kamsubiria hajatokea.!!!! Muda huo huo anatwambia yuko kwa boda aende huko mbezi ukizingatia ashasema jamaa anacomplain simu haina moto..!!
Sio kwamba ni kukwepa kukutana na JF member??
Trying to connect Dots... world is full of fake people. .. mtu anakuita mkutane hafu hatokei.. Au anakundanganya alipo
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️