Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

1.Kaitwa barakuda, aliyemwita hakujitokeza then akamsubiri akala akamaliza bila mwenyewe kujiyokeza mkuu deadbody kampatia namba apige baadae akasema anampigia akimaliza kula before hajatupa mrejesho anatuambia kuna mtu wa Amemwita mbezi hafu anasema anamtafuta hajibu. Mara mkuu tripp aliyemwita kajitokeza anasema kua hajamwona kamsubiria hajatokea.!!!! Muda huo huo anatwambia yuko kwa boda aende huko mbezi ukizingatia ashasema jamaa anacomplain simu haina moto..!!

Sio kwamba ni kukwepa kukutana na JF member??
Trying to connect Dots... world is full of fake people. .. mtu anakuita mkutane hafu hatokei.. Au anakundanganya alipo

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Hivi mkuu ushawahi kusafiri siku 3 halafu unayajua machovu yake?, akili unaijua inavyo kuruka? Yasikie tu mkuu siku ukienda ugenini utakuja kumkumbuka huyu jamaa. Sisi wengine tumeshakaa airport mpaka TSA wanakuuliza vipi mpango wako, tushafika nyumba za mwenyeji wangu halafu mpambe tu anataka kunifukuza. Mwenyeji akampa mkwala ndio akatulia wewe acha tu yasikufike kaka.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Waha kwa ubishi ni balaa,
Kuna siku kigoma jamaa wakaandika barua ya kuomba mechi ya mpira Wa miguu ya kirafiki na kijiji cha jirani, kijiji cha jirani wakakubali ombi lao, ikafika siku ya mechi Mara refa akaanzisha mpira ukaanza, ikafika dakika ya 79 ikawa droo ya bilabila maraa paaa ikatokea Mpira Wa kona, kona ikapigwa jamaa akaruka akafunga goli kwa kichwa refa akaita kati, wale Waha walikataa katakata kua lile sio goli na wakavuruga mechi eti kwanini amefungia goli kichwa wakati barua imeandikwa Mpira Wa miguu? Chezea Waha nyie

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii nayo mupya! Badala ya mpya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huyo muongo nimemwambia anipe namba hajanipa wala kufika kweli anacheza na akili zetu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ww ndo muongo unacheza na akili zetu! Huyu dogo alivofika hapo Barakuda ilikua mida ya saa 2 akaleta mrejesho hapa tukamwambia akusubirie hapohapo Barakuda avute subra. ila ww ulikua kimya ulishindwa nini hata kujibu comment mda ambao yy kafika huko? Ulitaka akufate kazini, Kwani yy anapajua hapo kazini kwako angalau ungempa namba yako ya simu ndo uanze kumhukumu kwamba hajakutafuta. Muogope Mungu ww kaka, unasema kakataa kukupa namba yake wakati namba yake ipo hapahapa kwenye Thread, na kila anaemuomba namba hasiti kumpa, ulivoona kaenda mbezi ndo umejitokeza. acha kumchafua mwenzio sio vizuri Muogope Mungu jamani. Dah!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ww ndo muongo unacheza na akili zetu! Huyu dogo alivofika hapo Barakuda ilikua mida ya saa 2 akaleta mrejesho hapa tukamwambia akusubirie hapohapo Barakuda avute subra. ila ww ulikua kimya ulishindwa nini hata kujibu comment mda ambao yy kafika huko? Ulitaka akufate kazini, Kwani yy anapajua hapo kazini kwako angalau ungempa namba yako ya simu ndo uanze kumhukumu kwamba hajakutafuta. Muogope Mungu ww kaka, unasema kakataa kukupa namba yake wakati namba yake ipo hapahapa kwenye Thread, na kila anaemuomba namba hasiti kumpa, ulivoona kaenda mbezi ndo umejitokeza. acha kumchafua mwenzio sio vizuri Muogope Mungu jamani. Dah!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kanitumia meseji saa kumi na mbili ushahidi upo na nimekaa hakuna simu wala nini kumbuka sio kila maa nitakuwa jf tu nilimpa mwongozo atume namba nimpgie akifika sasa yeye saa kumi na mbili katuma meseji isiyo mashiko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi hamkuelewana. Namba yake hii 0744-472252 , kama kweli kuna nafasi ya kazi km ulivomuahidi tunaomba ukutane nae na umsaidie kazi, kasema ana barua ya serikali za mtaa ya huko atokako.
Kanitumia meseji saa kumi na mbili ushahidi upo na nimekaa hakuna simu wala nini kumbuka sio kila maa nitakuwa jf tu nilimpa mwongozo atume namba nimpgie akifika sasa yeye saa kumi na mbili katuma meseji isiyo mashiko

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi hamkuelewana. Namba yake hii 0744-472252 , kama kweli kuna nafasi ya kazi km ulivomuahidi tunaomba ukutane nae na umsaidie kazi, kasema ana barua ya serikali za mtaa ya huko atokako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa sasa nimemtumia namba pm na kwenye simu yake ambayo kwa sasa haipatikani halete usanii mwingine kesho aone

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa sasa nimemtumia namba pm na kwenye simu yake ambayo kwa sasa haipatikani halete usanii mwingine kesho aone

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Akileta usanii hio kesho hata mi nitamtilia mashaka ila mpk sshv mm nina imani kwamba sio tapeli, nasubiri tu kujua hio kesho km atapata hio kazi au laa. Asipopata nami nitamchangia chochote kidogo apate kula.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani, Kuna Member amenipigia simu niende kulala kwake "Magari Saba" Sasa nimepanda gari mpaka hapa mbezi stendi, ila jamaa simu haipatikani. (dakika kadhaa nyuma ameniambia simu yake inaisha chaji) Sasa mpaka hapa sijaelewa nifanye nini. Isijekuwa niende huko Magari saba na nisimkute, kama Yule jamaa wa pale Barakuda.
Niko Njia Panda. Simu yake ingekuwa hewani, angenipokea, naamini hivo. Niko Mbezi Stendi Muda huu.
Sijui kwanini nafsi yangu bado inakataa...ngoja nijipe muda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
siyo ki hivyo kaka mkubwa.
yaani haimake sense .kwa jijI kama dar ukutane na mtu from no where pasipo kujuana .na akakufanyia yote hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu cha ajabu kipi ambacho ww hukielewi?Ina maana Dar hapo umeingia juzi?

Hv kiuhalisia umefika mjini hapo huna ndugu wala hujuani na yeyote na mbaya zaidi mfukoni huna kitu atachagua wa kuongea naye????

Hujui km muda wote unakuwa unatamani walau atokee mtu japo mwenye interest ya kuzungumza na ww japo upate pa kuanzia kuomba msaada..

Yawezekana sio kosa lako bali hujawahi kukwama ww

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekutana na jamaa kijitonyama shule, ninathibitisha jamaa ana uhitaji aisee, na wala siyo tapeli wala furahisha genge, sina kazi ya kumpa ila nimemsaidia kumpeleka kituoni makumbusho na kumpandisha gari la segerea ili ashuke hapo baracuda, aliye na nia ya kumsaidia amsaidie, nimeambatanisha pixha yake amenipa ruhusa ya kufanya hivyo ili mumuaminiView attachment 985989

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila siyo lasaba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom