Nakukumbusha tu: Ukihonga elfu kumi kumbuka yafuatayo

Nakukumbusha tu: Ukihonga elfu kumi kumbuka yafuatayo

Dah......hivo vyote ulivyoorodhesha kumbe vyote ni buku teni....Kumbe teni lina thamani...!!!!!!!
 
Mkuu kwa mtazamo wangu naona unachohonga ili ukipate, kwa maana ya kile kiungo pendwa na kama mipango ikienda mujarabu ukaingia kwenye lile tendo pendwa, burudani utakayoipata hata ukishinda na njaa ni sawa tu
 
Na kwa nini uache kuhonga badala yake ukafanye hayo mambo?hakuna ambacho ni mbadala wa kingine,ntanunua sato,ntakunywa hizo balimi,ntapanda mwendokasi,na ntahonga vilevile!kwani vipi?
Hapo sasa!
 
1. Ni bei ya sato kilo moja
2. Kuku wa nyama mmoja
3.kilo 2 za nyama ya ng'ombe
4.Sukari kilo 3
5. Donna kilo 4
6. Mchele kilo 4 super kabisa
7. Maziwa ya ng'ombe lita 4
8. Soda take away 10
9. Castle lite 4
10. Petrol lita 5
11. Nauli ya safari 13 za mwendo kasi
12. Chocolote ivory dogo 20
13. Mayai tray moja kizungu
14. Nauli na kiingilio cha mechi ya Simba na Yanga
15.nusu kilo ya mbuzi na balimi 2
16.balimi 6 na sigara 2
17.kitimoto nusu
18.michemsho ya kuku *2*

Unaweza ongezea [emoji3][emoji3][emoji3]

Sihongagi mimi
 
Back
Top Bottom