Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
sawa mkuu,
ila mie siaminigi ndimu au limao, huwa nahofia sana hizo wadudu ...
But for sure mwenyewe shida ya choo akifakamia hiyo kitu kesho atatoa mzigo wa maana yaanl
Pole sana katakata vitunguu swaumu punje unywe na maji ya motoKama wewe ni wale ambao tunakunya Kwa neema Njoo hapa haraka Sana.Imefikia hatua nakula nikilala usiku nasali kesho nipate choo.
Nakula Sana lakini sijui chakula kinaenda wapi.Tumbo linauma pia na limekuwa likitambi.Kuna muda naamua kunywa uji siku nzima ilimradi kupunguza maumivu.
Nakula kidogo nashiba haraka Sana.Na maumivu ya mgongo Kwa chini ambayo nahisi yametokana na taka vyakula kutotoka.
Nakumbuza enzi zile mfumo wa mmeng'enyo ulikuwa vizuri sikuwahi para shida kama hizi.
##Soso Take my pain###
Wewe shida yako ni sedentary lifestyle... Badilika uwe unafanya mazoezi mara kwa mara uone kama hilo tatizo la kupata choo litakaa litokee. Anza mazoezi haraka. Km 5 kila asubuhi au jioni wiki mara 4 au zaidiKama wewe ni wale ambao tunakunya Kwa neema Njoo hapa haraka Sana.Imefikia hatua nakula nikilala usiku nasali kesho nipate choo.
Nakula Sana lakini sijui chakula kinaenda wapi.Tumbo linauma pia na limekuwa likitambi.Kuna muda naamua kunywa uji siku nzima ilimradi kupunguza maumivu.
Nakula kidogo nashiba haraka Sana.Na maumivu ya mgongo Kwa chini ambayo nahisi yametokana na taka vyakula kutotoka.
Nakumbuza enzi zile mfumo wa mmeng'enyo ulikuwa vizuri sikuwahi para shida kama hizi.
##Soso Take my pain###
Dah [emoji23][emoji23]Umeona tunaokunya tunafaidi sana eeh
Mkuu wewe unakunywa Pombe?? Chakula gani unakipendelea sana kula?Kama wewe ni wale ambao tunakunya Kwa neema Njoo hapa haraka Sana.Imefikia hatua nakula nikilala usiku nasali kesho nipate choo.
Nakula Sana lakini sijui chakula kinaenda wapi.Tumbo linauma pia na limekuwa likitambi.Kuna muda naamua kunywa uji siku nzima ilimradi kupunguza maumivu.
Nakula kidogo nashiba haraka Sana.Na maumivu ya mgongo Kwa chini ambayo nahisi yametokana na taka vyakula kutotoka.
Nakumbuza enzi zile mfumo wa mmeng'enyo ulikuwa vizuri sikuwahi para shida kama hizi.
##Soso Take my pain###
Ni kweli mkuu Tena nilikataa nikamwambia ntarudi na alikuwa mwanamke sasa.Wewe ni muongo. Na kama hiki unachokisema hapa ni kweli, niambie ulienda hospitali gani ambayo Daktari alitaka kukuingiza kidole ili akupime.
Dawa yake nini mkuuUna chronic ulcers, wahi matibabu
Mkuu ni ukweli Huwa Kuna muda nawaza Sana vitu ambavyo sipati majibu Hadi mgongo unauma na kuwaka moto.Punguza kuwazia jambo 1 kwa muda mrefu na hasa km halina ufumbuzi ndani ya kipindi cha muda mfupi.
Za kuiva mkuu.Pole japo.nimecheka.sana kusema umekula.mkungu wa Ndizi. Sujajua ni Mbichi ulizopika au za kuiva?
Mzee ngoja nijaribu hiihiyo ni tiba mkuu asiogope...
Nimewahi fanya kazi hospital moja wakati nimemaliza tu chuo, nikijishkiza hapo japo si taaluma yangu...
Aliletwa mgonjwa hajanya 2months kwa mujibu wake na hawezi kutembea miguu imegoma kabisa hana nguvu na anasukumwa na while chair...
Daktari wa zamu kumcheki akahitimisha kwa kumfokonyoa kinyesi kwa vidole. Harufu ilikua ni kali mno haijapata kutokea...
Mwishowe mgonjwa yule alitoka jasho sana na aliondoka hospitali kwa furaha sana akitembea kwa miguu yake mwenyewe na baada kama ya wiki hivi alirudu sio kwaajili ya matibabu tena bali alimletea yule Dr . asanti ya sh laki2, coz mgonjwa anadai alizunguka mno kutafuta tiba na kupoteza pesa mingi bila mafanikio...
Usione haya unapotafuta suluhu ya afya yako...
kila la kheri mkuuMzee ngoja nijaribu hii
Mkuu Mimi Kila siku natembea kilometa 2 siishi hayo maisha unayosema.Hadi nakimbia lakini wapi.Wewe shida yako ni sedentary lifestyle... Badilika uwe unafanya mazoezi mara kwa mara uone kama hilo tatizo la kupata choo litakaa litokee. Anza mazoezi haraka. Km 5 kila asubuhi au jioni wiki mara 4 au zaidi
Chukua maziwa fresh chemsha vizuri kisha yaache apoe weka katika friji yapate bard kidogo kisha kunywa utapata choo kizuri chap kwa harakaKama wewe ni wale ambao tunakunya Kwa neema Njoo hapa haraka Sana. Imefikia hatua nakula nikilala usiku nasali kesho nipate choo.
Nakula Sana lakini sijui chakula kinaenda wapi. Tumbo linauma pia na limekuwa likitambi. Kuna muda naamua kunywa uji siku nzima ilimradi kupunguza maumivu.
Nakula kidogo nashiba haraka Sana. Na maumivu ya mgongo Kwa chini ambayo nahisi yametokana na taka vyakula kutotoka.
Nakumbuza enzi zile mfumo wa mmeng'enyo ulikuwa vizuri sikuwahi para shida kama hizi.
##Soso Take my pain###
Sema Akya nani...mi naweza saidia wewe walahKama wewe ni wale ambao tunakunya Kwa neema Njoo hapa haraka Sana. Imefikia hatua nakula nikilala usiku nasali kesho nipate choo.
Nakula Sana lakini sijui chakula kinaenda wapi. Tumbo linauma pia na limekuwa likitambi. Kuna muda naamua kunywa uji siku nzima ilimradi kupunguza maumivu.
Nakula kidogo nashiba haraka Sana. Na maumivu ya mgongo Kwa chini ambayo nahisi yametokana na taka vyakula kutotoka.
Nakumbuza enzi zile mfumo wa mmeng'enyo ulikuwa vizuri sikuwahi para shida kama hizi.
##Soso Take my pain###
Huo n ugonjwa nenda hospital inayojitambua...utakuwa na shida kwenye mfumo wa chakulaKama wewe ni wale ambao tunakunya Kwa neema Njoo hapa haraka Sana. Imefikia hatua nakula nikilala usiku nasali kesho nipate choo.
Nakula Sana lakini sijui chakula kinaenda wapi. Tumbo linauma pia na limekuwa likitambi. Kuna muda naamua kunywa uji siku nzima ilimradi kupunguza maumivu.
Nakula kidogo nashiba haraka Sana. Na maumivu ya mgongo Kwa chini ambayo nahisi yametokana na taka vyakula kutotoka.
Nakumbuza enzi zile mfumo wa mmeng'enyo ulikuwa vizuri sikuwahi para shida kama hizi.
##Soso Take my pain###