Nakula ila Sipati choo msaada jamani

Nakula ila Sipati choo msaada jamani

Kama wewe ni wale ambao tunakunya Kwa neema Njoo hapa haraka Sana.Imefikia hatua nakula nikilala usiku nasali kesho nipate choo.

Nakula Sana lakini sijui chakula kinaenda wapi.Tumbo linauma pia na limekuwa likitambi.Kuna muda naamua kunywa uji siku nzima ilimradi kupunguza maumivu.

Nakula kidogo nashiba haraka Sana.Na maumivu ya mgongo Kwa chini ambayo nahisi yametokana na taka vyakula kutotoka.

Nakumbuza enzi zile mfumo wa mmeng'enyo ulikuwa vizuri sikuwahi para shida kama hizi.

##Soso Take my pain###
Pole sana katakata vitunguu swaumu punje unywe na maji ya moto
 
Kama wewe ni wale ambao tunakunya Kwa neema Njoo hapa haraka Sana.Imefikia hatua nakula nikilala usiku nasali kesho nipate choo.

Nakula Sana lakini sijui chakula kinaenda wapi.Tumbo linauma pia na limekuwa likitambi.Kuna muda naamua kunywa uji siku nzima ilimradi kupunguza maumivu.

Nakula kidogo nashiba haraka Sana.Na maumivu ya mgongo Kwa chini ambayo nahisi yametokana na taka vyakula kutotoka.

Nakumbuza enzi zile mfumo wa mmeng'enyo ulikuwa vizuri sikuwahi para shida kama hizi.

##Soso Take my pain###
Wewe shida yako ni sedentary lifestyle... Badilika uwe unafanya mazoezi mara kwa mara uone kama hilo tatizo la kupata choo litakaa litokee. Anza mazoezi haraka. Km 5 kila asubuhi au jioni wiki mara 4 au zaidi
 
Fanya mazoezi ya viungo, (Kiunoni kushuka chini), pia kula matunda kama papai, juice ya ukwaju. Utapata choo.
 
Kama wewe ni wale ambao tunakunya Kwa neema Njoo hapa haraka Sana.Imefikia hatua nakula nikilala usiku nasali kesho nipate choo.

Nakula Sana lakini sijui chakula kinaenda wapi.Tumbo linauma pia na limekuwa likitambi.Kuna muda naamua kunywa uji siku nzima ilimradi kupunguza maumivu.

Nakula kidogo nashiba haraka Sana.Na maumivu ya mgongo Kwa chini ambayo nahisi yametokana na taka vyakula kutotoka.

Nakumbuza enzi zile mfumo wa mmeng'enyo ulikuwa vizuri sikuwahi para shida kama hizi.

##Soso Take my pain###
Mkuu wewe unakunywa Pombe?? Chakula gani unakipendelea sana kula?
 
Wewe ni muongo. Na kama hiki unachokisema hapa ni kweli, niambie ulienda hospitali gani ambayo Daktari alitaka kukuingiza kidole ili akupime.
Ni kweli mkuu Tena nilikataa nikamwambia ntarudi na alikuwa mwanamke sasa.
 
Ukishindwa vyote, nunua ukwaju chemsha kisha kunywa juice yake, siku ya pili utapata matokeo.
 
hiyo ni tiba mkuu asiogope...
Nimewahi fanya kazi hospital moja wakati nimemaliza tu chuo, nikijishkiza hapo japo si taaluma yangu...

Aliletwa mgonjwa hajanya 2months kwa mujibu wake na hawezi kutembea miguu imegoma kabisa hana nguvu na anasukumwa na while chair...

Daktari wa zamu kumcheki akahitimisha kwa kumfokonyoa kinyesi kwa vidole. Harufu ilikua ni kali mno haijapata kutokea...

Mwishowe mgonjwa yule alitoka jasho sana na aliondoka hospitali kwa furaha sana akitembea kwa miguu yake mwenyewe na baada kama ya wiki hivi alirudu sio kwaajili ya matibabu tena bali alimletea yule Dr . asanti ya sh laki2, coz mgonjwa anadai alizunguka mno kutafuta tiba na kupoteza pesa mingi bila mafanikio...

Usione haya unapotafuta suluhu ya afya yako...
Mzee ngoja nijaribu hii
 
NUNUA DULUCOLAX PHARMAS HAKIKISHA UKO NA CHOO NDANI AMA NENDA MADUKA YA TIBA YA ASILI PALE MAGOMENI OMBA WAKUPE DAWA YA KUSAFISHA TUMBO YA MBEGU MBEGU..ZIKO ZA UNGA HIZI ACHANA NAZO
HHAKIKISHAUMEKULAA CHIEF

KILALAKHERI NAPOLESANA
 
Wewe shida yako ni sedentary lifestyle... Badilika uwe unafanya mazoezi mara kwa mara uone kama hilo tatizo la kupata choo litakaa litokee. Anza mazoezi haraka. Km 5 kila asubuhi au jioni wiki mara 4 au zaidi
Mkuu Mimi Kila siku natembea kilometa 2 siishi hayo maisha unayosema.Hadi nakimbia lakini wapi.
 
Kama wewe ni wale ambao tunakunya Kwa neema Njoo hapa haraka Sana. Imefikia hatua nakula nikilala usiku nasali kesho nipate choo.

Nakula Sana lakini sijui chakula kinaenda wapi. Tumbo linauma pia na limekuwa likitambi. Kuna muda naamua kunywa uji siku nzima ilimradi kupunguza maumivu.

Nakula kidogo nashiba haraka Sana. Na maumivu ya mgongo Kwa chini ambayo nahisi yametokana na taka vyakula kutotoka.

Nakumbuza enzi zile mfumo wa mmeng'enyo ulikuwa vizuri sikuwahi para shida kama hizi.

##Soso Take my pain###
Chukua maziwa fresh chemsha vizuri kisha yaache apoe weka katika friji yapate bard kidogo kisha kunywa utapata choo kizuri chap kwa haraka
 
DUADUA MWANA NJIA 10 HIZO IKIGOMA ONGEZA DUA ALLAH MWEMA UTAPONA
 

Attachments

  • Screenshot_20231217_220229_Chrome.jpg
    Screenshot_20231217_220229_Chrome.jpg
    150.9 KB · Views: 6
  • Screenshot_20231217_220211_Chrome.jpg
    Screenshot_20231217_220211_Chrome.jpg
    181.9 KB · Views: 7
  • Screenshot_20231217_220155_Chrome.jpg
    Screenshot_20231217_220155_Chrome.jpg
    183.4 KB · Views: 5
  • Screenshot_20231217_220140_Chrome.jpg
    Screenshot_20231217_220140_Chrome.jpg
    179.5 KB · Views: 5
  • Screenshot_20231217_220127_Chrome.jpg
    Screenshot_20231217_220127_Chrome.jpg
    179.8 KB · Views: 6
Kama wewe ni wale ambao tunakunya Kwa neema Njoo hapa haraka Sana. Imefikia hatua nakula nikilala usiku nasali kesho nipate choo.

Nakula Sana lakini sijui chakula kinaenda wapi. Tumbo linauma pia na limekuwa likitambi. Kuna muda naamua kunywa uji siku nzima ilimradi kupunguza maumivu.

Nakula kidogo nashiba haraka Sana. Na maumivu ya mgongo Kwa chini ambayo nahisi yametokana na taka vyakula kutotoka.

Nakumbuza enzi zile mfumo wa mmeng'enyo ulikuwa vizuri sikuwahi para shida kama hizi.

##Soso Take my pain###
Sema Akya nani...mi naweza saidia wewe walah
Screenshot_20231217-220309_Google.jpg
 
Kama wewe ni wale ambao tunakunya Kwa neema Njoo hapa haraka Sana. Imefikia hatua nakula nikilala usiku nasali kesho nipate choo.

Nakula Sana lakini sijui chakula kinaenda wapi. Tumbo linauma pia na limekuwa likitambi. Kuna muda naamua kunywa uji siku nzima ilimradi kupunguza maumivu.

Nakula kidogo nashiba haraka Sana. Na maumivu ya mgongo Kwa chini ambayo nahisi yametokana na taka vyakula kutotoka.

Nakumbuza enzi zile mfumo wa mmeng'enyo ulikuwa vizuri sikuwahi para shida kama hizi.

##Soso Take my pain###
Huo n ugonjwa nenda hospital inayojitambua...utakuwa na shida kwenye mfumo wa chakula
 
Back
Top Bottom