simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
Mtazamo hasi tu but the name has nothing to do with desturi etc.if so basi hata Nyegezi na mtoni kwa mkunduge ni abusive zibadilishe majina.
Kampuni ya Nakumat ya Kenya inakamilisha mchakato wa kuinunua kampuni ya Shoprite Tanzania, yenye maduka matatu nchini. Hii imekaaje? Watanzania tumeshindwa kuingia kwenye retail business? Hawa wafanyabiashara wetu wanaolilia Vitalu vya gas wako wapi?
I agree with you! Kama hilo jina (NAKUMAT) linaonekana kuwa abusive kwa desturi za ki-Tanzania, Mamlaka husika iwalazimishe kulibadili katika mazingira ya nchi yetu. Otherwise, hawataki, they have to go! Tatizo hizo mamlaka zetu zina guts za kufanya hivyo hususan inapokuja issue ya "mwekezaji"?
Ukifika USA utaweza panda Virgin Airline ambayo sera yake nini low cost airline (kama hii fast jet yetu) na inaweza kukupeleka mpaka Japan kwenye mji wa Kumamoto! By the way,Nakumatt tayari ipo Tanzania,ipo Moshi mjini!Nenda Mwanza kuna Hoteli inaitwa KUMARIJA
Hao wajitayarishe kupata hasara kubwa. Watanzania hawana utamaduni wa kununua vitu kwenye supermarkets. Wanapenda kununua kwenye masoko kama kilombero - Arusha, Kariakoo n.k.
Mkuu ukiona hivyo ujue "tax holiday" imekwisha! Wanakuja kivingine. Umesahau ile michezo ya Sheraton then Royal Palm then Serena then ... and so on? Au Celtel then Zain then Airtel? Au Mobitel then ... then Tigo? Only in Tanzania!
Mkuu ukiona hivyo ujue "tax holiday" imekwisha! Wanakuja kivingine. Umesahau ile michezo ya Sheraton then Royal Palm then Serena then ... and so on? Au Celtel then Zain then Airtel? Au Mobitel then ... then Tigo? Only in Tanzania!
this debate on the name being dirty gave me quite a laugh. you Tanzanians are quite a bunch of hypocrites. your society is more sexual than us from celebrity sex scandals to stuff like kangamoko(which i praise tz for) yet a simple name like nakumatt is an issue. seriously guys. it takes a very idle sex depraved human being to look at the name nakumatt and think Pussy. some of you need to grow up, get offline and work on getting laid maybe for a change.
Mkuu ukiona hivyo ujue "tax holiday" imekwisha! Wanakuja kivingine. Umesahau ile michezo ya Sheraton then Royal Palm then Serena then ... and so on? Au Celtel then Zain then Airtel? Au Mobitel then ... then Tigo? Only in Tanzania!
Mbona Serikali ivyotaka ku ibailout precision air mlipiga kelele. Hii ni biashara na sasa tunaelekea kwenye market and economic intergration. Mtashuhudia dhule za Kenya, stationery, daladala and so on zikiingia nchini. Siyo tatizo ni kujipanga tu. Acha waje.Naelewa vizuri sana kuwa Shoprite sio ya watanzania, ila inafanya biashara ya Retail Tanzania na kushindana na akina Mangi na Wapemba, Pia inaleta bidhaa nyingi za mboga mboga na Matunda kutoka South Africa badala ya Lushoto, nilitegemea leo hii inapouzwa inunuliwe na wawekezaji wa Tanzania ili faida ibaki hapa, Kumbuka serikali ya Kenya iliwahi kuibail out UCHUMI wakati inayumba ili isinunuliwe na muwekezaji wa nje? Ndo maana nikasema hao wanaopiga kelele kuwezeshwa kwenye gas ambako kunaitaji mabilioni ambayo hatuna, kwa nini wasiwekeze nguvu zao katika kumiliki angalau biashara hizi ambazo tuna uwezo nazo?
Nafikiri na ww hujamuelewa mossad007 kwa kifupi ni kuwa hizo bizashara za kilanguzi (sabuni ya kuogea na mswaki) sio deal Bakhresa na IPP walishaziona sasa wameingia kwenye Viwanda na malori wakifuatilia Vitalu vya Gas
kifupi mm naona biashara ya Umachinga hapa TZ hailipi kwa Wazalendo wenye mitaji mikubwa
Hao walioko Kariakoo na kwenda kila siku China hadi kuvileta Viwanda vyao hapa Nchini (mfano MCL, TAN-UK nk) ndio za maana kuliko kuuza Biscuit km NAKUMAT
Naelewa vizuri sana kuwa Shoprite sio ya watanzania, ila inafanya biashara ya Retail Tanzania na kushindana na akina Mangi na Wapemba, Pia inaleta bidhaa nyingi za mboga mboga na Matunda kutoka South Africa badala ya Lushoto, nilitegemea leo hii inapouzwa inunuliwe na wawekezaji wa Tanzania ili faida ibaki hapa, Kumbuka serikali ya Kenya iliwahi kuibail out UCHUMI wakati inayumba ili isinunuliwe na muwekezaji wa nje? Ndo maana nikasema hao wanaopiga kelele kuwezeshwa kwenye gas ambako kunaitaji mabilioni ambayo hatuna, kwa nini wasiwekeze nguvu zao katika kumiliki angalau biashara hizi ambazo tuna uwezo nazo?