Nakumat yainunua Shoprite Tanzania

Nakumat yainunua Shoprite Tanzania

Nakumatt dah jina kama tusi au ndi zile za kihindi za kumar
 
Nakumatt jina limetoka Nakuru maitress, hawa jamaa a cha waenze ili tu develop modern retail..
 
Tumekupata sana mkuu hiyo ni kampuni kubwa ila sasa malipo yao ndo yako chini hata wafanyakazi wengi huacha kazi mara kwa mara.
ngoja tuone wa kwetu watawalipa sh ngapi il siku zote lengo la mfanyabiashara/capitalist ni kuaximize profit as much as he/she can kama inaaasili ya uhindini hii supermarket basi swala hilo tusilishangae
 
TRA watch out carefully:hat:, :rip: Shoprite!!! wametuchosha na bidhaa za makaburu hadi mboga!
 
sina tatizo na nakumatt toka kenya kuweza nchini au kampuni kubwa zinazo milikiwa na wahindi since indians have been trading in tz before independence.
tatizo labda lije liwepo ktk uduni wa utoaji huduma.
nakumatt mnakaribishwa.

250311192227--Eldoret2.jpg


BADO HAWA WAMO JIANI WAJA KWA JIRANI

naivas.jpg


BDNAIVAS2602B.jpg
 
Hivi hawa wawekezaji huwa hawaambiwi kwamba Majina mengine badhi ya sehem itawakosesha wateja?

Mie hata kukaribia Duka hilo na wanangu sikaribii kabsiaa kwa jina.

Nakuma...t,duhh
Maana hata sijui kama una Mama yako unamuambia ,Mama twende Nakumat mh,mbaya zaidi T ya mwisho haisikiki vizuri inakuwa NA ----.

Hapo ndio ukiigia Dukani unajifanya kama jina hulioni vile.Na Mbaya zaidi watoto walivyo wadadisi,lazima watakuambia baba hili jina mbona matusi,hapo inabidi uwe mpole,sasa IQ ya mtoto itapima kwamba baba nae sie,yaani anaingia kwenye duka limeandikwa matusi?

Kazi kweli,nilikuwa mteja wa Shoprite lakini kwa Nakumatt nitasamehe kwa jina.
 
Jina la NAKUMATT limetokana na NAKURU MATTRESS maana biashara hiyo ilianzia kwenye mattress huko Nakuru Kenya.
 
Hivi hawa wawekezaji huwa hawaambiwi kwamba Majina mengine badhi ya sehem itawakosesha wateja?

Mie hata kukaribia Duka hilo na wanangu sikaribii kabsiaa kwa jina.

Nakuma...t,duhh
Maana hata sijui kama una Mama yako unamuambia ,Mama twende Nakumat mh,mbaya zaidi T ya mwisho haisikiki vizuri inakuwa NA ----.

Hapo ndio ukiigia Dukani unajifanya kama jina hulioni vile.Na Mbaya zaidi watoto walivyo wadadisi,lazima watakuambia baba hili jina mbona matusi,hapo inabidi uwe mpole,sasa IQ ya mtoto itapima kwamba baba nae sie,yaani anaingia kwenye duka limeandikwa matusi?

Kazi kweli,nilikuwa mteja wa Shoprite lakini kwa Nakumatt nitasamehe kwa jina.

yaani umenichekesha kweli!!! lol
 
Wamiliki wa msululu wa supermarket kubwa za Kenya, Nakumatt, watatakiwa kusubiri hadi katikati ya mwaka huu kabla ya kununua supermarket tatu za kampuni ya Shoprite ya Afrika Kusini zilizopo nchini.



nakumatt.jpg



Manunuzi hayo yalitakiwa kufanyika mwezi huu wa nne lakini sasa yatafanyika baada ya miezi mitatu kwa mujibu wa tume ya ushindani Tanzania, FCC. "Hatu na uhakika lini tutachukua maduka hayo kwakuwa tumeambiwa na tume ya ushindani ya Tanzania kungoja kwa miezi mitatu mingine," alisema Thiagarajan Ramamurthy, Head of Strategy and Operations wa Nakumatt.
Sababu za kuchelewa huko hazijatajwa.

Supermarket hizo zitauzwa kwa gharama ya dola milioni 40.45. Nakumatt imeahidi kuwaajiri wafanyakazi wa Shoprite pale itakapozinunua ili kupunguza gharama ya kuajiri wafanyakazi wapya. Kampuni hiyo ya Afrika Kusini inaondoka Tanzania baada ya kuonywa kuacha kuchukua bidhaa kutoka Afrika Kusini na kutopromote zile za Tanzania.
Kwa upande wake Nakumatt imepanga kuwapa kipaumbele wazalishaji wa bidhaa wa Tanzania na wale wa Kenya waliopo Tanzania. Hatua hiyo ya kuchelewashwa kwa manunuzi hayo kunaiathiri Nakumatt ambayo ilikuwa imejipanga kuanza biashara mwezi huu.
Chanzo: VenturesAfrica
Hapo kwenye nyekundu huo sasa ndio ujinga wenyewe unamwambia vipi mtu abadilishe business strategy zake kwenye soko huru kukuridhisha wewe policing body sijui regulator.

Kwanini wewe usiwaambie watanzania waingie gharama za kuingia kwenye hizo biashara na wa promote bidhaa za kitanzania kwa kushindana na makaburu kama unaona zina ubora wa kuuzwa dukani, huwezi pata faida za muda mrefu kama unazuia changamoto zinazojitokeza mbele yako, kwanini usijiulize iweje walaji wananunua hizo bidhaa wakati zipo za ndani ni ubora, bei, marketing, positioning ya shoprite or just what?

Lakini huwezi kuwaambia wafanya A,B na C kwenye biashara zao kukuridhisha wewe, you are concerns should be taxes and employment benefits hao Nakumat kama wanaona kuna gap wangeingia kivyao lakini huko ni kuvunja ushindani unaoitajika kibiashara kwa faida ya consumers.

Serious wakati mwengine huwa nashangaa sana naposoma job adverts za bongo hawe na masters ya sijui nini, hawe na experience ya miaka mitano at senior position ndio watu wanaokuja na upumbavu kama huu social policies na biashara wamesomea wapi hawa vilaza.
 
Hivi yale machungwa pale muheza na zile mboga + matunda ya lushoto kufika shoprite/uchumi/game imekuwaa ngumuuu kabisaaaaa????
 
Hivi yale machungwa pale muheza na zile mboga + matunda ya lushoto kufika shoprite/uchumi/game imekuwaa ngumuuu kabisaaaaa????
Kwanini lazima mboga na matunda ya ndani yauzwe huko au yafike hapo wakati wanunuzi wapo kila kona. Why cant producers na wafanyabiashara themselves find their own markets, nyinyi wenyewe mmeacha wachukuzi kuweka gharama za juu sana kwenye bidhaa za chakula na idadi yao ni wachache sana matokeo yake gharama za chakula mijini au sehemu zisizozalisha zimekuwa juu.

Halafu mpaka mtu achukue machungwa south afrika na kuyauza bongo na wewe ukaona bado rahisi au hata kama ni gharama zaidi kosa la nani mfanyabiashara au wewe mnunuzi? na kwanini ukanunua usiende support local produce what is the reason? hapo kosa la shoprite liko wapi?

Kama wanataka fairness basi wawaambie na wachukuzi lazima asilimia 60 ya uchuuzi wao huwe wa ndani kuacha kufuata biashara za nje kama Uganda, Zaire, Burundi, na nchi za kusini zenye faida in the name of encouraging internal markets by increasing volumes and lowering food prices ili wakulima wafaidike na economies of scale.

Unapoamua kuwa soko huru maana yake umpangii mtu na mwenendo wa biashara zake unaweza muomba atumie bidhaa za ndani lakini auna sababu ya kumlazimisha hao shoprites kama wangeona kuna faida hiyo wangeamua kufungasha kweli? ina maana wao wana execute plan yao sio yako wewe na wanajua ni watu gani wanawalenga na bidhaa gani au kwa namna zipi watauza.

Unajuaje gharama za kuleta hizo mboga kwa meli ni rahisi kutoka south afrika kuliko kuzifuata huko Muheza, wao wanaenda na strategy zao labda meli ikija inakuja na bidhaa zote na kuwatolea usumbufu na gharama za kuangaika ndani ya Tanzania.
 
Wamiliki wa msululu wa supermarket kubwa za Kenya, Nakumatt, watatakiwa kusubiri hadi katikati ya mwaka huu kabla ya kununua supermarket tatu za kampuni ya Shoprite ya Afrika Kusini zilizopo nchini.



nakumatt.jpg



Manunuzi hayo yalitakiwa kufanyika mwezi huu wa nne lakini sasa yatafanyika baada ya miezi mitatu kwa mujibu wa tume ya ushindani Tanzania, FCC. "Hatu na uhakika lini tutachukua maduka hayo kwakuwa tumeambiwa na tume ya ushindani ya Tanzania kungoja kwa miezi mitatu mingine," alisema Thiagarajan Ramamurthy, Head of Strategy and Operations wa Nakumatt.
Sababu za kuchelewa huko hazijatajwa.

Supermarket hizo zitauzwa kwa gharama ya dola milioni 40.45. Nakumatt imeahidi kuwaajiri wafanyakazi wa Shoprite pale itakapozinunua ili kupunguza gharama ya kuajiri wafanyakazi wapya. Kampuni hiyo ya Afrika Kusini inaondoka Tanzania baada ya kuonywa kuacha kuchukua bidhaa kutoka Afrika Kusini na kutopromote zile za Tanzania.
Kwa upande wake Nakumatt imepanga kuwapa kipaumbele wazalishaji wa bidhaa wa Tanzania na wale wa Kenya waliopo Tanzania. Hatua hiyo ya kuchelewashwa kwa manunuzi hayo kunaiathiri Nakumatt ambayo ilikuwa imejipanga kuanza biashara mwezi huu.
Chanzo: VenturesAfrica

Naogopa kuchangia uzi huu lakini wacha nichangie tu haina jinsi, kama kweli Nakumat ni kutoka Kenya na kama kweli miongoni mwa sababu zilizochangia Shoprite kuondoka ni kwa sababu ya kuuza bidhaa kutoka South Africa. Sasa kwa Nakumat mtachemsha zaidi na zaidi maana mtakula kila kitu kutoka Kenya na mbaya zaidi hata wafagizi watatoka Kenya maana Kenya ni karibu watakuja hata kwa Dar express.Huniamini acha lakini nawajua sana Wakenya ni wabinafsi saana nakuambia
 
Kwanini lazima mboga na matunda ya ndani yauzwe huko au yafike hapo wakati wanunuzi wapo kila kona. Why cant producers na wafanyabiashara themselves find their own markets, nyinyi wenyewe mmeacha wachukuzi kuweka gharama za juu sana kwenye bidhaa za chakula na idadi yao ni wachache sana matokeo yake gharama za chakula mijini au sehemu zisizozalisha zimekuwa juu.

Halafu mpaka mtu achukue machungwa south afrika na kuyauza bongo na wewe ukaona bado rahisi au hata kama ni gharama zaidi kosa la nani mfanyabiashara au wewe mnunuzi? na kwanini ukanunua usiende support local produce what is the reason? hapo kosa la shoprite liko wapi?

Kama wanataka fairness basi wawaambie na wachukuzi lazima asilimia 60 ya uchuuzi wao huwe wa ndani kuacha kufuata biashara za nje kama Uganda, Zaire, Burundi, na nchi za kusini zenye faida in the name of encouraging internal markets by increasing volumes and lowering food prices ili wakulima wafaidike na economies of scale.

Unapoamua kuwa soko huru maana yake umpangii mtu na mwenendo wa biashara zake unaweza muomba atumie bidhaa za ndani lakini auna sababu ya kumlazimisha hao shoprites kama wangeona kuna faida hiyo wangeamua kufungasha kweli? ina maana wao wana execute plan yao sio yako wewe na wanajua ni watu gani wanawalenga na bidhaa gani au kwa namna zipi watauza.

Unajuaje gharama za kuleta hizo mboga kwa meli ni rahisi kutoka south afrika kuliko kuzifuata huko Muheza, wao wanaenda na strategy zao labda meli ikija inakuja na bidhaa zote na kuwatolea usumbufu na gharama za kuangaika ndani ya Tanzania.

tatizo sisi pia hatuthamini vya kwetu kuna ndugu yangu alikuwepo finland amerudi mwezi uliopita ananiamia huko wafini wanajali sana vitu vya kwao sometimes huwa bidhaa zao huwa ni bei maradufu kuliko bidhaa zinnazotoka nje lakini wapo tayari wanunue bidhaa zao na sio za nje hawataki kumfaidisha wakuja burebure so hili la kuchgua bidhaa lingeanzia kwetu sio mtu eti unaenda shoprite kununua sijui nyanya na mboga wakati masokoni unaweza kupata hizo na tena zikiwa fresh.tusingekuwa tunanunua hizo mboga zao na nyanaya toka s.a sidhani kama wangeendelea kuzileta
 
Tunakaribisha Al~ Shabaab

Hapana mkuu, hao hatuataki hata kidogo. Na kwa taarifa yako kilichonunuliwa ni jina la NAKUMATT lilonunuliwa na kampuni ya SHOPRITE ili kukwepa Tax Holiday ambayo ilishakaribia kueksipaya.
 
Back
Top Bottom