Nakumat yainunua Shoprite Tanzania

Nakumat yainunua Shoprite Tanzania

,sasa kitu kama apples huwezi pata kwetu lushoto,au hata mchicha uuupate wa sa?,sio lazima vitu vya viwandani,nna uhakika shangazi yako ni mkulima wa mchicha,ni fursa yake kwa nakumatti,na kwa sheria mpya mkuu.

Bila shaka serikali watawabana Nakumat waaagize Mali Mbichi na hai toka Shume NA MAGAMBA LUSHOTO, PIA MGETA Dabaga, KILOLO, IFUNDA, Mangora Karatu na LUPEMBE -NJOMBE..
 
Hivi kwa nini? SHOPRITE iliamua kuuza Supermarket zake zilizoko Tanzania kwa Nakumatt, kama ni gharama za uendeshaji kutoka South Africa kwenda Uganda na Kutoka South Africa kuja Tanzania wapi Mbali? Kampala wana Supermarket za SHOPRITE karibu 3 wakati huo huo na Nakumatt wanazo karibu 2 lakini kitu unachonunua SHOPRITE bei ni tofauti sana na NAKUMATT
 
Back
Top Bottom