Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Unaenda lini huko nikutume??
nitume mimi naenda...........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaenda lini huko nikutume??
wamefikiri sana na kuja na kodi mpya kwenye majeneza kuongeza machungu kwa wafiwa (very clever,genius!)
ina maana na hawa nao hivyo hivyo?
Bp ----> > > puma
agip -----> > >oryx
sio kwamba hawaoni huo uwozo, wanauona ila 10% wanayoipata inawatosha matumbo yao na kusahau njaa haimalizwi kwa siku moja..:spit:
tanzania inachezewa na wawekezaji kupitia misamaha hii ya kodi (tax holiday). Wamekuja na kuondoka huku wakibadilishana majina.
Mfano: Kilimanjaro hotel > kempinsk hotel > hyatt regency hotel.
Pia sheraton > royal palm hotel> movenpick hotel > serena hotel.
Sasa shoprite kwenda nakumat ya kenya?
Nasikia tetesi barrick wanataka mgodi wa noth mara na ule wa ... Kwa wachina ili waje fukia mashimo.
Viongozi wetu hawalioni tatizo? Hatujitambui?. Kwingine kama botwasna na south wanafanya hivi?
Unaenda lini huko nikutume??
Ina maana na hawa nao hivyo hivyo?
BP ----> > > PUMA
AGIP -----> > >ORYX
Ina maana na hawa nao hivyo hivyo?
BP ----> > > PUMA
AGIP -----> > >ORYX
Maswali magumu kwa majibu mepesi.............................BP wameshindwa KUSHINDANA NA MAKAMPUNI YA UARABUNI YANAOUZA MAFUTA YA WAJOMBA ZAO WENYE VISIMA. HAYA YANAYOCHAKACHUA VIWANGO VYA MAAFUTA NA KUKWEPA KODI. NDO MAANA WAMJENGA VITUO KILA KILOMETA YA BARABARA NCHINI.
BP wana intenational standard ndo maana WANAKUBALIKA kuuza mafuta ndege.
Elewa bila BP au PUMA ndege za KIMATAIFA ka hazitatua Tanzania !.
Oryx imeuzwa kwa ORYX ENERGIES
ni sheria za kuwabana ku-import goods zote toka south africa,sheriA sasa inaruhusu local supplier kusupply kwenye supermarket,na inaealazimisha wamiliki kupata goods zote hapa tz,na si ku-import
Maswali magumu kwa majibu mepesi.............................
Una bahati kukutana na Maprof. na Drs. humu JF your name Zipu**** tells it all!
perxcent (%) KUBWA YA BIDHAA ZAO NI mchina. Electronic, electrical e.g mafridge, domestic equipment nk. labda zinapitishiwa SA.
Tz ina viwanda gani vya ku-supply supermarkets zetu. Au sembe na juice ya AZAM isiyo viwango? labda chai na kahawa Mkuu.