Nakumat yainunua Shoprite Tanzania

Nakumat yainunua Shoprite Tanzania

Ajira kwa wakenya hoyeee. Mpaka mfagizi atatoka Kenya.
 
Ndo dunia ya biashara huria inavyokwenda sioni cha kulalamika hapo zaidi kufa kufaana na kama mlikuwa hapo badala ya kufanya kazi nyie mnalinga na kushindana kubofya simu kazi kwenu na ulimbukeni wenu.

Chanses come chanses go as well.
 
Akina Chenge wamehifadhi mihela nje ya nchi. Jamani wazilete waziivest hapa vijana wapige kazi. Anaona zikiwa nje ni ujanja. ataziacha ......
 
je maslahi ya wafanyakazi yamezingatiwa ?

Hapo kwenye maslahi ndo pananipa hofu na mimi maana Nakumatt ya Moshi wafanyakazi waliacha wengi sana sababu ya maslahi madogo. Sasa sijui huko wameongeza ama vipi. Taarifa tutazipata tu.
 


Tanzania inachezewa na wawekezaji kupitia misamaha hii ya kodi (tax Holiday). Wamekuja na kuondoka huku wakibadilishana majina.

Mfano: Kilimanjaro Hotel > Kempinsk Hotel > Hyatt Regency Hotel.

Pia Sheraton > Royal Palm Hotel> Movenpick Hotel > Serena Hotel.

Sasa Shoprite kwenda Nakumat ya Kenya?

Nasikia tetesi Barrick wanataka mgodi wa Noth Mara na ule wa ... kwa Wachina ili waje fukia mashimo.

Viongozi wetu hawalioni tatizo? Hatujitambui?. Kwingine kama Botwasna na South wanafanya hivi?
 
kwani shoprite na wenyewe walikuwa kwenye likizo ya kodi?
 
Tatizo hakuna sheria ya kuwabana wasifanye hivyo.., so in reality hawavunji sheria.., labda katiba mpya iseme ni hatua gani zichukuliwe kwa watakaofanya hivyo.., kumbukeni..., Celtel>Zain>Airtel....., Mobitel>Buzz>Tigo......, Vodacom>Vodafone Uk n.k...!
 
Yaani hii serikali yetu sijui ikoje haioni wala kusikia inatula siye kodi wakati hayo makampuni makubwa yanasamehewa na kubadlisha jina la biashara kama pipi na chocolate sijui kwanini hawaoni wanavyochezewa kisinema namna hii yaani hawa viongozi wetu wamerogwa na nini jamani sisi watanzania tunalimwa kodi kule karikooo kisa ni nini wakati hawa wawekezaji wanapeta tu kiulaini sijui hii tanzania ina laana au ni nini hasa?


tanzania inachezewa na wawekezaji kupitia misamaha hii ya kodi (tax holiday). Wamekuja na kuondoka huku wakibadilishana majina.

Mfano: Kilimanjaro hotel > kempinsk hotel > hyatt regency hotel.

Pia sheraton > royal palm hotel> movenpick hotel > serena hotel.

Sasa shoprite kwenda nakumat ya kenya?

Nasikia tetesi barrick wanataka mgodi wa noth mara na ule wa ... Kwa wachina ili waje fukia mashimo.

Viongozi wetu hawalioni tatizo? Hatujitambui?. Kwingine kama botwasna na south wanafanya hivi?
 
tatizo hakuna sheria ya kuwabana wasifanye hivyo.., so in reality hawavunji sheria.., labda katiba mpya iseme ni hatua gani zichukuliwe kwa watakaofanya hivyo.., kumbukeni..., celtel>zain>airtel....., mobitel>buzz>tigo......, vodacom>vodafone uk n.k...!

orodha ya janja hii ni ndefu sana
 
Ni kweli kama sheria ingekuwapo wasingefanya hivyo wanatunyonya sana jamani sasa kwanini wasiweke hiy sheria ili wabanwe na kulipa kodi vizuri kuliko kutubana siye wafanyabiashara kwa vikodi na kutupandishia kodi hivyo hovyo bila kuona kama tunapata faida au la

labda hii katiba mpya itafanya jambo jipya uenda
tatizo hakuna sheria ya kuwabana wasifanye hivyo.., so in reality hawavunji sheria.., labda katiba mpya iseme ni hatua gani zichukuliwe kwa watakaofanya hivyo.., kumbukeni..., celtel>zain>airtel....., mobitel>buzz>tigo......, vodacom>vodafone uk n.k...!
 
yaani hii serikali yetu,,,,,,,,i jamani sisi watanzania tunalimwa kodi kule karikooo kisa ni nini wakati hawa wawekezaji wanapeta tu kiulaini ..a?

wamefikiri sana na kuja na kodi mpya kwenye MAJENEZA kuongeza machungu kwa WAFIWA (VERY CLEVER,GENIUS!)
 
Tatizo hakuna sheria ya kuwabana wasifanye hivyo.., so in reality hawavunji sheria.., labda katiba mpya iseme ni hatua gani zichukuliwe kwa watakaofanya hivyo.., kumbukeni..., Celtel>Zain>Airtel....., Mobitel>Buzz>Tigo......, Vodacom>Vodafone Uk n.k...!

Nadhani sasa hivi kuna Capital gains tax aliipigia sana kampeni Zitto so si haba lazima tutapata cheti. Labda kama shoprite imeuzwa shs milioni sita kama IPTL
 
Last edited by a moderator:
kwani shoprite na wenyewe walikuwa kwenye likizo ya kodi?

Kabla ya kuwa Shoprite walikuwa wakiitwa SCORE

village-square3.big.jpg
 
sio kwamba hawaoni huo uwozo, wanauona ila 10% wanayoipata inawatosha matumbo yao na kusahau njaa haimalizwi kwa siku moja..:spit:
 
Back
Top Bottom