Nakumbuka Mitihani yetu ya Darasa la Saba ilikuwa inaanza ivi

Umekosea kdogo. Mtiti ulikua unaanzia swali la 31. Babu unatamani waseme ishieni hapohapo ulipofikia
nakumbuka headteacher alikuwa anafundisha hesabu so akija kugawa karatasi za mtihani unacheki swali la kwanza hadi thelathini, utakayokosa ndio idadi ya fimbo zako kwa siku hiyo
 
Jibu hazitakutana kwa SBB ndege IPO hewani na land cruser IPO (chini) barabarani
 
Mkuu samahani Kama utakuwa female naomba niwe mwanafunzi wako kwa kweli sijawahi fundishwa hesabu na madam nasikia wanaeleweka Sana yamkini namimi ningekuwa kipanga wa hesabu ntafurahi Kama ombi langu litakubaliwa
Mkuu mi mkaka haaaaa
Mwite chilalila akupige msasa
 
HILO swali ni sawa na swali Tanzania ilipata Uhuru lini??
 
Juma ana miaka 3 zaidi ya Jafeti.Jumla ya miaka yao ni 19 Tofauti ta miaka yao ni 6.Je, Jafeti ana miaka mingapi.

Haya maswali ya umri yalinikera.

Si wangetoa tu swali hilohilo kwa njia hii,

Umri wa Juma= x
Umri wa Jafeti=y

3x+y=19
x-y=6.
Manenooooooo kibao nilikua niko interested na haya maswali lakini sikuwahi kupata jibu sahihi.
 
Umekosea kdogo. Mtiti ulikua unaanzia swali la 31. Babu unatamani waseme ishieni hapohapo ulipofikia
Labda haya maswali yao ya siku hizi ya kushade, lakini yale yenyewe chaaa balaa lilikuwa linaanzia swali la 31!! Unasoma mara kumi kumi unahisi upo central na bwana siro.
 
Labda haya maswali yao ya siku hizi ya kushade, lakini yale yenyewe chaaa balaa lilikuwa linaanzia swali la 31!! Unasoma mara kumi kumi unahisi upo central na bwana siro.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na bwana cro
 
Kufaulu ni kufikia malengo uliyojiwekea kwenye maisha yako, hiyo ni principle moja muhimu sana ukitaka kufurahia maisha, kwa bahati nzuri nilijifunza toka utotoni, kwenye mtihani wa hesabu kufaulu kwangu ilikuwa kuepuka kupata 0 hayo mengine niliyokuwa nikipata ilikuwa ni kuvuka maleng kama vile TRA walivyokuwa wanazikusanya kodi😀
 
usifikili kila mmoja alikuwa na uwezo kama wako wa kusema primary kulikuwa hakuna maswali magumu.
Hapo mtoa mada hajazungumzia hayo maswali manne ya kwanza yeye kazungumzia ugumu wa maswali ya mafumbo kwa nilivyomuelewa mimi
au tuseme kwa kufupi unaanza na maswali simple then unaenda kwenye pasua kichwa
 
hayo maswali yalikuwepo aisee usibishe bana .
 
Wengi tulikua tukipata 25/50...Daa kuna Vyombo vilikua matata sana hujaenda Maumbo,Mwendokasi,Mzingo,kipenyo,Tena anakwambia tumia pai kama 3.144,Hujaenda mlinganyo,Mkuu unajikuta unangaa sharubu tuu na kutumia bikari bila kujua hata unafanya nn
ilikuwa ni hatari hivi vitu aisee ukipata 30 /50 unaringa kinoma.
Dah haya mambo yalikuwa mazito, sasa usiombe kukutana na swali la umri, yaani ukisolve vibaya unaweza jikuta mjukuu ana miaka mingi kuliko bibi!
maswali kama ya umri yalikuwa ni moto wa kuotea mbali aisee
Naomba niingilie huu ubishi mkuu chinchilla coat na wadau wengine, hili ni swali la topic gani kwa anayesema ni la darasa la saba, na kwa anayesema ni la form 3.
secondary hakuna maswali ya hivyo.
 
kinematics before ilikuwa kwenye mathematics na physics ila baade ilifutwa ikaachwa kwenye physics mkuu.

Check records zako vizuri mkuu, miaka niliyosoma mimi Kinematics haikuwa kwenye hesabu O-Level, ila baada ya hizi arguments nikaangalia syllabus ya Math Form 3 nikaona Kinematics imo, na ni current syllabus.
 
hii kinematics umeitolea wapi kwasasa haipo ila before ilikuwepo tena kwenye mathematics halafu hapo ujaiweka topic ya account
 
Labda haya maswali yao ya siku hizi ya kushade, lakini yale yenyewe chaaa balaa lilikuwa linaanzia swali la 31!! Unasoma mara kumi kumi unahisi upo central na bwana siro.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Check records zako vizuri mkuu, miaka niliyosoma mimi Kinematics haikuwa kwenye hesabu O-Level, ila baada ya hizi arguments nikaangalia syllabus ya Math Form 3 nikaona Kinematics imo, na ni current syllabus.
hapana mkuu kinematics wamekwisha itoa kipindi kirefu tu au labda pengine nisibishe labda inaweza ikawa imeludishwa tena but ngoja niingie kwenye mafaili yao nicheki.
 
hapana mkuu kinematics wamekwisha itoa kipindi kirefu tu au labda pengine nisibishe labda inaweza ikawa imeludishwa tena but ngoja niingie kwenye mafaili yao nicheki.

Mkuu kwa tuliosoma O - level miaka ya 1994 - 2007 hiyo topic haikuwepo kwenye hesabu za form 3, baada ya huu ubishi nikaingia net kucheki curent syllabus nikaiona.

Itakuwa iliondolewa miaka hiyo niliyotaja na then ikarudishwa baada ya hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…