chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,969
ndio assumption hiyoMmmh! Haya. Ndege angani na gari aridhini vikutane labda kama ndege inaruka chini chini kufuata uelekeo wa barabara!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio assumption hiyoMmmh! Haya. Ndege angani na gari aridhini vikutane labda kama ndege inaruka chini chini kufuata uelekeo wa barabara!!!!!
Hip hop is everything, sengeli ni unyani mtupuDuh wu tang clan member huyo hao watu akina GZA ghostface killah method men ODB Raekwon akili zao walikuwa wanazijua wenyewe. Ahsante bujibuji kunikumbusha vyuma hivi.
nakumbuka headteacher alikuwa anafundisha hesabu so akija kugawa karatasi za mtihani unacheki swali la kwanza hadi thelathini, utakayokosa ndio idadi ya fimbo zako kwa siku hiyoUmekosea kdogo. Mtiti ulikua unaanzia swali la 31. Babu unatamani waseme ishieni hapohapo ulipofikia
Mkuu mi mkaka haaaaaMkuu samahani Kama utakuwa female naomba niwe mwanafunzi wako kwa kweli sijawahi fundishwa hesabu na madam nasikia wanaeleweka Sana yamkini namimi ningekuwa kipanga wa hesabu ntafurahi Kama ombi langu litakubaliwa
Labda haya maswali yao ya siku hizi ya kushade, lakini yale yenyewe chaaa balaa lilikuwa linaanzia swali la 31!! Unasoma mara kumi kumi unahisi upo central na bwana siro.Umekosea kdogo. Mtiti ulikua unaanzia swali la 31. Babu unatamani waseme ishieni hapohapo ulipofikia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na bwana croLabda haya maswali yao ya siku hizi ya kushade, lakini yale yenyewe chaaa balaa lilikuwa linaanzia swali la 31!! Unasoma mara kumi kumi unahisi upo central na bwana siro.
usifikili kila mmoja alikuwa na uwezo kama wako wa kusema primary kulikuwa hakuna maswali magumu.Hapo unafanya x ndio muda gari litakaotumia kukutana
gari litakuwa limesafiri kilomta 220x
ndege itauwa imesafisafiri kilomita 350(x+1), hiyo ni 1 sababu ya ndege iliwahi saa moja kabla ya gari
Kupata x ambayo ndio muda unatakiwa uzi equate hizo mbili, kwa kuwa jumla ya km ni 900, kilomita ilizosafiri gari lilipokutana na ndege itakuwa ni sawa na 900 utoe km ilizosafiri ndege
220x= 900-350(x+1)
Ukikokotoa utapata x ni 30/19 ya saa
ukitaka kuhakiki unatafuta kilomita ilizosafiri ndege baada ya 30/19 ya lisaa kisha unatafuta na km ilizosafiri gari baada ya 30/19 ya saa, hizo km za gari na ndege ukizijumlisha lazima zilete jibu la 900 kwa kuwa km zote zilikuwa covered.
Darasa la saba kulikuwa hakuna maswali magumu kama hayo, huo ni ukilaza wako unashindwa kutofautisha hata maswali ya la saba na sekondari
au tuseme kwa kufupi unaanza na maswali simple then unaenda kwenye pasua kichwaHapo mtoa mada hajazungumzia hayo maswali manne ya kwanza yeye kazungumzia ugumu wa maswali ya mafumbo kwa nilivyomuelewa mimi
hayo maswali yalikuwepo aisee usibishe bana .mwendokasi ulikuwepo ila simple sana, kutafuta muda huku umepewa umbali na mwendokasi, au kutafuta mwendokasi huku umepewa umbali na muda, walikuwa hawaya complicate kama la mtoa mada,
maswali ya mtoa mada ni la sekondari form 3
I'm not seeking forgiveness
ilikuwa ni hatari hivi vitu aisee ukipata 30 /50 unaringa kinoma.Wengi tulikua tukipata 25/50...Daa kuna Vyombo vilikua matata sana hujaenda Maumbo,Mwendokasi,Mzingo,kipenyo,Tena anakwambia tumia pai kama 3.144,Hujaenda mlinganyo,Mkuu unajikuta unangaa sharubu tuu na kutumia bikari bila kujua hata unafanya nn
maswali kama ya umri yalikuwa ni moto wa kuotea mbali aiseeDah haya mambo yalikuwa mazito, sasa usiombe kukutana na swali la umri, yaani ukisolve vibaya unaweza jikuta mjukuu ana miaka mingi kuliko bibi!
secondary hakuna maswali ya hivyo.Naomba niingilie huu ubishi mkuu chinchilla coat na wadau wengine, hili ni swali la topic gani kwa anayesema ni la darasa la saba, na kwa anayesema ni la form 3.
kinematics before ilikuwa kwenye mathematics na physics ila baade ilifutwa ikaachwa kwenye physics mkuu.Hiyo ni physics au ni hesabu kwa form 3?
kinematics before ilikuwa kwenye mathematics na physics ila baade ilifutwa ikaachwa kwenye physics mkuu.
hii kinematics umeitolea wapi kwasasa haipo ila before ilikuwepo tena kwenye mathematics halafu hapo ujaiweka topic ya accountSure nimeiona, nimejaribu kutafuta syllabus ya miaka ya 2000 kushuka chini sijaiona, nadhani hapo kuna topic mpya ziliingizwa na baadhi kuondolewa.
All in All uko sahihi.
Hesabu za form three topic zake ni hizi hapa chini:-
1. Relations
2. Functions
3. Rate and Variation
4. Statistics
5. Kinematics
6. Sequence and Series
7. Circles
8. The Earth as a Sphere
hii kinematics umeitolea wapi kwasasa haipo ila before ilikuwepo tena kwenye mathematics halafu hapo ujaiweka topic ya account
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Labda haya maswali yao ya siku hizi ya kushade, lakini yale yenyewe chaaa balaa lilikuwa linaanzia swali la 31!! Unasoma mara kumi kumi unahisi upo central na bwana siro.
hapana mkuu kinematics wamekwisha itoa kipindi kirefu tu au labda pengine nisibishe labda inaweza ikawa imeludishwa tena but ngoja niingie kwenye mafaili yao nicheki.Check records zako vizuri mkuu, miaka niliyosoma mimi Kinematics haikuwa kwenye hesabu O-Level, ila baada ya hizi arguments nikaangalia syllabus ya Math Form 3 nikaona Kinematics imo, na ni current syllabus.
hapana mkuu kinematics wamekwisha itoa kipindi kirefu tu au labda pengine nisibishe labda inaweza ikawa imeludishwa tena but ngoja niingie kwenye mafaili yao nicheki.