Nakumbuka Mitihani yetu ya Darasa la Saba ilikuwa inaanza ivi

Nakumbuka Mitihani yetu ya Darasa la Saba ilikuwa inaanza ivi

mimi kweli ni kilaza kwenye hesabu yani japo nambiwa nila darasa la saba bado naona chenga chenga tu
Elimu yako tafadhali maana hapo ni za kwanza hizo hazina tofauti na hesabu za dukani kurudisha na
kupokea change
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
mkuu kama vile tulimaliza mwaka mmoja hahahahhaha, hali ikishakuwa ngumu hivi unaomba mungu kama mwalimu wako atapita angalau aweke kidole mahali, hapohapo unaweka kama jibu! wale jamaa askari polisi walikuwa wanakomaa ile mbaya hakuna mtu kuzengea eneo mnalofanyia paper
aah8ana,mbona unaniangusha.

Majibu unayakuta chooni,mwalimu kishasolve mkuu,
 
Ndo mana binafsi nipo neutral kuhusu hili ila it seems upo vizuri mathematics hesabu nazipenda sana nilipokuwa olevel ili nimeamini nimefaulu Masomo mengine lazima hesabu nibutue hadi leo nataka nijitolee kufunsisha bila malipo few topics kwa olevel na advance.

Ndani ya moyo kwangu kuna traits za ualimu but kilichonifanya niende fani nyingine ni mazingira magumu ya kufundishia but nitajitolea kufundisha few topics
Mkuu samahani Kama utakuwa female naomba niwe mwanafunzi wako kwa kweli sijawahi fundishwa hesabu na madam nasikia wanaeleweka Sana yamkini namimi ningekuwa kipanga wa hesabu ntafurahi Kama ombi langu litakubaliwa
 
mkuu kama vile tulimaliza mwaka mmoja hahahahhaha, hali ikishakuwa ngumu hivi unaomba mungu kama mwalimu wako atapita angalau aweke kidole mahali, hapohapo unaweka kama jibu! wale jamaa askari polisi walikuwa wanakomaa ile mbaya hakuna mtu kuzengea eneo mnalofanyia paper
aah8ana,mbona unaniangusha.

Majibu unayakuta chooni,mwalimu kishasolve mkuu,
 
Hapo unafanya x ndio muda gari litakaotumia kukutana

gari litakuwa limesafiri kilomta 220x
ndege itauwa imesafisafiri kilomita 350(x+1), hiyo ni 1 sababu ya ndege iliwahi saa moja kabla ya gari

Kupata x ambayo ndio muda unatakiwa uzi equate hizo mbili, kwa kuwa jumla ya km ni 900, kilomita ilizosafiri gari lilipokutana na ndege itakuwa ni sawa na 900 utoe km ilizosafiri ndege

220x= 900-350(x+1)
Ukikokotoa utapata x ni 30/19 ya saa
ukitaka kuhakiki unatafuta kilomita ilizosafiri ndege baada ya 30/19 ya lisaa kisha unatafuta na km ilizosafiri gari baada ya 30/19 ya saa, hizo km za gari na ndege ukizijumlisha lazima zilete jibu la 900 kwa kuwa km zote zilikuwa covered.



Darasa la saba kulikuwa hakuna maswali magumu kama hayo, huo ni ukilaza wako unashindwa kutofautisha hata maswali ya la saba na sekondari
Don't take it seriously

Hapa JF chit chat usikute mleta mada alikuwa hashuki 45/50 kwa kila pepa sema ili kufurahisha genge ndio kaandika hivyo
 
mwaka 2013 ndo elimu ilizikwa ya shule ya msingi kwakuleta machaguo yasiokuwa na maana kwa mwanafunzi

RIP elimu tz
 
Nilikuwa nikimaliza wa kwanza nalala au natoka kwa paper, 48/50kama widaa
 
Don't take it seriously

Hapa JF chit chat usikute mleta mada alikuwa hashuki 45/50 kwa kila pepa sema ili kufurahisha genge ndio kaandika hivyo
Most of these people ni wale competent persons, ndio maana anatambua kirahisi nin kilikuwa rahisi na nini kilikuwa kigumu, so very true sometymes is just a matter of jokes!
 
Hapo unafanya x ndio muda gari litakaotumia kukutana

gari litakuwa limesafiri kilomta 220x
ndege itauwa imesafisafiri kilomita 350(x+1), hiyo ni 1 sababu ya ndege iliwahi saa moja kabla ya gari

Kupata x ambayo ndio muda unatakiwa uzi equate hizo mbili, kwa kuwa jumla ya km ni 900, kilomita ilizosafiri gari lilipokutana na ndege itakuwa ni sawa na 900 utoe km ilizosafiri ndege

220x= 900-350(x+1)
Ukikokotoa utapata x ni 30/19 ya saa
ukitaka kuhakiki unatafuta kilomita ilizosafiri ndege baada ya 30/19 ya lisaa kisha unatafuta na km ilizosafiri gari baada ya 30/19 ya saa, hizo km za gari na ndege ukizijumlisha lazima zilete jibu la 900 kwa kuwa km zote zilikuwa covered.



Darasa la saba kulikuwa hakuna maswali magumu kama hayo, huo ni ukilaza wako unashindwa kutofautisha hata maswali ya la saba na sekondari
Mpaka hapo sijakuelewa. Ndiyo maana nikiona namba kichwa kinauma
 
Most of these people ni wale competent persons, ndio maana anatambua kirahisi nin kilikuwa rahisi na nini kilikuwa kigumu, so very true sometymes is just a matter of jokes!
Na ukiona mtu anajisifia sana ujue ndio wale walikuwa Vilaaaza


Mtu ambaye alikuwa mzuri huwezi kukuta anajisifia hovyo
 
Hapo unafanya x ndio muda gari litakaotumia kukutana

gari litakuwa limesafiri kilomta 220x
ndege itauwa imesafisafiri kilomita 350(x+1), hiyo ni 1 sababu ya ndege iliwahi saa moja kabla ya gari

Kupata x ambayo ndio muda unatakiwa uzi equate hizo mbili, kwa kuwa jumla ya km ni 900, kilomita ilizosafiri gari lilipokutana na ndege itakuwa ni sawa na 900 utoe km ilizosafiri ndege

220x= 900-350(x+1)
Ukikokotoa utapata x ni 30/19 ya saa
ukitaka kuhakiki unatafuta kilomita ilizosafiri ndege baada ya 30/19 ya lisaa kisha unatafuta na km ilizosafiri gari baada ya 30/19 ya saa, hizo km za gari na ndege ukizijumlisha lazima zilete jibu la 900 kwa kuwa km zote zilikuwa covered.



Darasa la saba kulikuwa hakuna maswali magumu kama hayo, huo ni ukilaza wako unashindwa kutofautisha hata maswali ya la saba na sekondari
Mmmh! Haya. Ndege angani na gari aridhini vikutane labda kama ndege inaruka chini chini kufuata uelekeo wa barabara!!!!!
 
Back
Top Bottom