Nakumbuka Mitihani yetu ya Darasa la Saba ilikuwa inaanza ivi

Nakumbuka Mitihani yetu ya Darasa la Saba ilikuwa inaanza ivi

Hapo unafanya x ndio muda gari litakaotumia kukutana

gari litakuwa limesafiri kilomta 220x
ndege itauwa imesafisafiri kilomita 350(x+1), hiyo ni 1 sababu ya ndege iliwahi saa moja kabla ya gari

Kupata x ambayo ndio muda unatakiwa uzi equate hizo mbili, kwa kuwa jumla ya km ni 900, kilomita ilizosafiri gari lilipokutana na ndege itakuwa ni sawa na 900 utoe km ilizosafiri ndege

220x= 900-350(x+1)
Ukikokotoa utapata x ni 30/19 ya saa
ukitaka kuhakiki unatafuta kilomita ilizosafiri ndege baada ya 30/19 ya lisaa kisha unatafuta na km ilizosafiri gari baada ya 30/19 ya saa, hizo km za gari na ndege ukizijumlisha lazima zilete jibu la 900 kwa kuwa km zote zilikuwa covered.



Darasa la saba kulikuwa hakuna maswali magumu kama hayo, huo ni ukilaza wako unashindwa kutofautisha hata maswali ya la saba na sekondari
Sekondari gani walikua wanatoa maswali ya hesabu kiswahili?
 
Haaa haa haa haa
Aiseee nmekumbuka mbali sana
 
*Nakumbuka mitihani ya Darasa la saba ilikuwa inaanza kama utani utani hivi*

19+87=
219-45=
12x34=
59÷7=

Halafu huko mbele sasa kuanzia swali la sita au la saba hivi...utajutaa!!

"Ndege inatoka Dar saa tatu asbh kwenda Chato. Na gari Toyota Land cruiser linatoka Chato saa nne asbh kwenda Dar.

Ikiwa spidi ya ndege ni 350km/saa na ya land cruiser ni km220/Saa, na umbali wa Chato-Dar ni KM 900, je, zitakutana saa ngapi?"

Ah, sasa mi ntajuaje???
Na hizi tochi zote barabarani na matuta na ishu ya kusimama kujisaidia...ntawezaje kujua watakutana saa ngapi.
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Unajikuta umetoka kwenye pepa umejibu maswali manne tu ya mwanzo kati ya hamsini
Angalie usije ukadata!
 
Juma ana miaka 3 zaidi ya Jafeti.Jumla ya miaka yao ni 19 Tofauti ta miaka yao ni 6.Je, Jafeti ana miaka mingapi.

Haya maswali ya umri yalinikera.

Si wangetoa tu swali hilohilo kwa njia hii,

Umri wa Juma= x
Umri wa Jafeti=y

3x+y=19
x-y=6.
Manenooooooo kibao nilikua niko interested na haya maswali lakini sikuwahi kupata jibu sahihi.
Dah... Kwa njia hii ya papara lazima uwe unapigwa tu[emoji12] [emoji12]
 
limetafsiriwa
Usiwe m bishi kwa wale waliomaliza middle schl miaka ya mkoloni maswali yao darasa la nne ni ya form 2 ya sasa. Hilo swali ni la darasa la saba miaka ya 1996 kurudi nyuma kabla Awamu yenu ya Mungai kuwachanganyia hesabu na sayansi/kimu
 
Usiwe m bishi kwa wale waliomaliza middle schl miaka ya mkoloni maswali yao darasa la nne ni ya form 2 ya sasa. Hilo swali ni la darasa la saba miaka ya 1996 kurudi nyuma kabla Awamu yenu ya Mungai kuwachanganyia hesabu na sayansi/kimu
hata baada ya 1996 hayo maswali yalikuwepo hata baada ya kuingia mungai.
 
...nonsense!..uzi ulilenga kufurahi kwa kukumbuka ndo mana ikawekwa joke,mpuuzi mmoja kaharibu kabisa maudhui ya uzi!
..ndo shida ya mabwege wanaotumia nguvu nyingi kutaka kujionesha wao vipanga sana,kumbe vibuyu tu!
 
Hapo unafanya x ndio muda gari litakaotumia kukutana

gari litakuwa limesafiri kilomta 220x
ndege itauwa imesafisafiri kilomita 350(x+1), hiyo ni 1 sababu ya ndege iliwahi saa moja kabla ya gari

Kupata x ambayo ndio muda unatakiwa uzi equate hizo mbili, kwa kuwa jumla ya km ni 900, kilomita ilizosafiri gari lilipokutana na ndege itakuwa ni sawa na 900 utoe km ilizosafiri ndege

220x= 900-350(x+1)
Ukikokotoa utapata x ni 30/19 ya saa
ukitaka kuhakiki unatafuta kilomita ilizosafiri ndege baada ya 30/19 ya lisaa kisha unatafuta na km ilizosafiri gari baada ya 30/19 ya saa, hizo km za gari na ndege ukizijumlisha lazima zilete jibu la 900 kwa kuwa km zote zilikuwa covered.



Darasa la saba kulikuwa hakuna maswali magumu kama hayo, huo ni ukilaza wako unashindwa kutofautisha hata maswali ya la saba na sekondari
Mkuu una stress sana....
 
acheni utani swali LA hesabu haliwezi kukaa kama hivyo sababu halina uhalisia wa kuweza kulitafutia solution ,hapo hata umpe professor wa hesabu lazima atakwambia umtolee ujinga wa hivyo
 
Back
Top Bottom