Nakumbuka mwezi July nilimpoteza baba yangu

Pole mkuu
Msiba wa baba unauma[emoji26]
Mimi kila siku nalia,leo tu alfajiri nikawa naota matukio ya msibani yalivyokuwa..nimelia usingizi,nimekuja kuamshwa nikalianzisha tena live.
Aisee yani ni kama naota lakini ni ukwel hatutawaona tena
 
Tuwaombee dua tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…