Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
- Thread starter
- #21
sababu ya huyu mungwana kua agenda ya ya Taifa 2030-2040 ni maendeleo ya wanainchi kupitia utekelezaji na usimamizi wa Ilani ya CCM 2020-2025.HII NDIO HULKA NA TABIA HALISI YA WANA CCM, KUWAZA CHAGUZI ZIJAZO NA VYEO, KUFIKIRIA MAENDELEO YA NCHI AAAAHH!
mambo haya hayatokei kimiujiza gentleman ni mipango tu 🐒