Kwakua wewe ni popoma asiyejielewa na kwamba hujui nguvu ya cc ya Ccm ambayo haizingatii maoni ya wengi! Usijefuta huu uchafu wako baada ya Mwenyekiti kuja na Jina mfukoni kama ilivyokua utaratibu wake!
Hapo ulipo hukujua hata siku Moja Dr Imma angeteuliwa hiyo nafasi, kama Mpuuxi mwenzako
Lucas Mwanashamba alipompigia debe mtu mwenye akili kama Zake DAUDI Albert bashite kuwa naweza kushika nafasi hiyo! Lakini mambo yakabadilika. Hata Leo hii Samia akiachia mlango wazi watu ndani ya chama chake wachukue fomu ya kugombea nafasi ya uenyekiti au uraisi! Nakuambia Kwa asilimia mia tano angeondoka kabla ya uchaguzi, sababu Kuna watu wenye uwezo mkubwa sana hekima maarifa na ujuzi wa mambo kuhusu nchi hii kuliko yeye au hujui haya mambo ya kuwapendelea ninyi wanawake na haja ya kujifanya mnathamini usawa wa kijinsia Ndio yalifanya akawa Rais Kwa bahati mbaya?
Mahala dhana hiyo ilipata maana tu ni pale Mzee makamba alipokuja na Jina la Mama Makonda! Sababu she was Good! Kwahiyo maswala ya Imma kuwa agenda yaache ka sperm kwenye balls haziwezi kuitwa mtoto mpaka azaliwe! Mana Kuna ndoto nyevu, nyeto, P2 ndomu na miscarriage!
Nimetumia maneno makali sababu Nyie et al ni watu msio kuwa na fikra tunduizi! Na hamjui mnataka Nini ilimradi jukwaa limesema.
Adios