Nakumbusha tu kwamba DR. Emmanuel Nchimbi ndiyo agenda ya taifa kwa mwaka 2030-2040

Nakumbusha tu kwamba DR. Emmanuel Nchimbi ndiyo agenda ya taifa kwa mwaka 2030-2040

mazoea ni utumwa mbaya sana dah!

kwamba Simba SC haiwezi kufuzu zaidi ya robo fainali michuano ya kimataifa, hatua ambayo mara zote huishia, right?

imani kama hizi pamoja na hiyo yako si ushirikina wa wazi kabisa gentleman 🐒
Ni ushirikina kabisa kama ule wa kujiaminisha kwamba bila CCM imara Nchi itayumba Gentlemen !
Ilihali ukweli ni kwamba bila Taasisi imara za Dola ndio tunaweza kusambaratika gentleman 😳😳🙄 !
 
Wewe despot, umezoea "status quo"? Umeyaona ya jana? Nyakati zinabadirika, demography inakua nyingine, siyo ile ya '47, na ujue Vijana sasa wanakua wemepata elimu, na wasomi wakipata elimu wana-tend kua na uelewa wa haki zao; ndiyo maana jana umeona Lisu alivyoshinda na Mbowe (Mwamba) kusimama na kukubali matokeo.

Have said that; Vijana wote wameona, na wamependa, hawajawahi kuona raha hiyo ambayo hawajawahi kuona maishani mwao. Cha muhimu tu wewe ngojea tu October 2025; utaona. Safari hakuna Mbowe wala Lisu kuwaambia Vijana waingie mtaani, yaani Vijana wenyewe bila kusukumwa wataingia mtaani kudai haki yao.

Hapo ndiyo utajua old tactics zenu ndiyo zitakua mwisho. Remember Old dogs never learn new tactics! You are old, your tactics are old also.
Duh 🙄 !
Hii nilikuwa nimeisahau kabisa !
Kwamba Old dogs never learn new tactics !
Hahahahaha 🤣 !
Kwakweli ! 😳🙄😳
 
Ningependa kusisitiza jambo hilo kwa wadau wote wa JF na kama familia, kwamba agenda ya Taifa letu kwa mwaka 2030-2040 itakua ni Dr. Emmanuel Nchimbi. Ni muhimu kujipanga vyema nyuma ya huyu muungwana mzalendo.

Nilishaeleza haya miaka iliyopita,
naeleza tena mwaka huu, ili asijekutokea mtu akaanza kulalamika ooh mtaalamu mbobevu wa masuala ya siasa mbona hukusema haya mapema n.k. chukua point hiyo sasa.

Na kwa maelezo na uchambuzi wa kina zaidi, nitaeleza kinagaubaga katika wakati muafaka 🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Kwakua wewe ni popoma asiyejielewa na kwamba hujui nguvu ya cc ya Ccm ambayo haizingatii maoni ya wengi! Usijefuta huu uchafu wako baada ya Mwenyekiti kuja na Jina mfukoni kama ilivyokua utaratibu wake!
Hapo ulipo hukujua hata siku Moja Dr Imma angeteuliwa hiyo nafasi, kama Mpuuxi mwenzako Lucas Mwanashamba alipompigia debe mtu mwenye akili kama Zake DAUDI Albert bashite kuwa naweza kushika nafasi hiyo! Lakini mambo yakabadilika. Hata Leo hii Samia akiachia mlango wazi watu ndani ya chama chake wachukue fomu ya kugombea nafasi ya uenyekiti au uraisi! Nakuambia Kwa asilimia mia tano angeondoka kabla ya uchaguzi, sababu Kuna watu wenye uwezo mkubwa sana hekima maarifa na ujuzi wa mambo kuhusu nchi hii kuliko yeye au hujui haya mambo ya kuwapendelea ninyi wanawake na haja ya kujifanya mnathamini usawa wa kijinsia Ndio yalifanya akawa Rais Kwa bahati mbaya?
Mahala dhana hiyo ilipata maana tu ni pale Mzee makamba alipokuja na Jina la Mama Makonda! Sababu she was Good! Kwahiyo maswala ya Imma kuwa agenda yaache ka sperm kwenye balls haziwezi kuitwa mtoto mpaka azaliwe! Mana Kuna ndoto nyevu, nyeto, P2 ndomu na miscarriage!
Nimetumia maneno makali sababu Nyie et al ni watu msio kuwa na fikra tunduizi! Na hamjui mnataka Nini ilimradi jukwaa limesema.
Adios
 
Ningependa kusisitiza jambo hilo kwa wadau wote wa JF na kama familia, kwamba agenda ya Taifa letu kwa mwaka 2030-2040 itakua ni Dr. Emmanuel Nchimbi. Ni muhimu kujipanga vyema nyuma ya huyu muungwana mzalendo.

Nilishaeleza haya miaka iliyopita,
naeleza tena mwaka huu, ili asijekutokea mtu akaanza kulalamika ooh mtaalamu mbobevu wa masuala ya siasa mbona hukusema haya mapema n.k. chukua point hiyo sasa.

Na kwa maelezo na uchambuzi wa kina zaidi, nitaeleza kinagaubaga katika wakati muafaka 🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Itategemea na atakavyocheza karata zake katika nafasi yake ya u makamo. Hata hivyo, unamjua tundu lissu wewe? Kwanza nitashangaa vyuo vikuu wasipomtunukia shahada ya udaktari wa heshima katika nafasi yake ya uenyekiti japo walishindwa kufanya hivyo katika nafasi ya mwanasheria mbobevu na mwanasiasa nguli
 
Mungu anawaona! Mkipanga yenu Mungu alishapanga yake kabla yenu!
Endeleeni na mazoea!
 
Kwakua wewe ni popoma asiyejielewa na kwamba hujui nguvu ya cc ya Ccm ambayo haizingatii maoni ya wengi! Usijefuta huu uchafu wako baada ya Mwenyekiti kuja na Jina mfukoni kama ilivyokua utaratibu wake!
Hapo ulipo hukujua hata siku Moja Dr Imma angeteuliwa hiyo nafasi, kama Mpuuxi mwenzako Lucas Mwanashamba alipompigia debe mtu mwenye akili kama Zake DAUDI Albert bashite kuwa naweza kushika nafasi hiyo! Lakini mambo yakabadilika. Hata Leo hii Samia akiachia mlango wazi watu ndani ya chama chake wachukue fomu ya kugombea nafasi ya uenyekiti au uraisi! Nakuambia Kwa asilimia mia tano angeondoka kabla ya uchaguzi, sababu Kuna watu wenye uwezo mkubwa sana hekima maarifa na ujuzi wa mambo kuhusu nchi hii kuliko yeye au hujui haya mambo ya kuwapendelea ninyi wanawake na haja ya kujifanya mnathamini usawa wa kijinsia Ndio yalifanya akawa Rais Kwa bahati mbaya?
Mahala dhana hiyo ilipata maana tu ni pale Mzee makamba alipokuja na Jina la Mama Makonda! Sababu she was Good! Kwahiyo maswala ya Imma kuwa agenda yaache ka sperm kwenye balls haziwezi kuitwa mtoto mpaka azaliwe! Mana Kuna ndoto nyevu, nyeto, P2 ndomu na miscarriage!
Nimetumia maneno makali sababu Nyie et al ni watu msio kuwa na fikra tunduizi! Na hamjui mnataka Nini ilimradi jukwaa limesema.
Adios
zingatia hoja mahususi mezani bila mihemko wala makasiriko gentleman,

hili ni jambo la kitaifa na waTanzania wote wamelipokea kwa mikono miwili 🐒
 
zingatia hoja mahususi mezani bila mihemko wala makasiriko gentleman,

hili ni jambo la kitaifa na waTanzania wote wamelipokea kwa mikono miwili 🐒
Arguing with a fool is not allowed for wise men will fail to distinguish between the two! Psych is real
 
Mungu anawaona! Mkipanga yenu Mungu alishapanga yake kabla yenu!
Endeleeni na mazoea!
ni wazi,
kama binadamu tunapanga yetu kwa akili na utashi alitujalia, nae pia anatupangia kadiri ya mapenzi yake kwetu.

Daima,
ni muhimu sana Kumshukuru Mungu kwa kila Jambo gentleman,

Chuki binafsi,
imani za kishirikiana ni utumwa na mzigo mzito sana kuubeba moyoni. Mnawezaje gentleman?🐒
 
Arguing with a fool is not allowed for wise men will fail to distinguish between the two! Psych is real
waerevu hawanaga mihemko wala makasiriko wanapotoa hoja gentleman,

wanaibua mawazo mapya na fikra mbadala bora zaidi ya hoja ya mezani. Sasa hii kimbwelambwela na kujipiga kifua bila kua na point ni useless na completely nonsense 🐒
 
waerevu hawanaga mihemko wala makasiriko wanapotoa hoja gentleman,

wanaibua mawazo mapya na fikra mbadala bora zaidi ya hoja ya mezani. Sasa hii kimbwelambwela na kujipiga kifua bila kua na point ni useless na completely nonsense 🐒
You are a fool
 
Gentleman,
Chukua hiyo as reference, itakusaiadia sana kuzoea mazingira ya kiongozi wa Kitaifa ajae 🐒
2025 CCM inaangukia kirahisi sana.
Rais ni Mwanaume, Mkristu, Mkatoliki Toka Bara.

Naomba uichukue kama reference!!

Mama atarudi Kizimkazi kupunzika!!!

Ni ngumu kumeza kwako,lakini ni dawa!!
 
Ningependa kusisitiza jambo hilo kwa wadau wote wa JF na kama familia, kwamba agenda ya Taifa letu kwa mwaka 2030-2040 itakua ni Dr. Emmanuel Nchimbi. Ni muhimu kujipanga vyema nyuma ya huyu muungwana mzalendo.

Nilishaeleza haya miaka iliyopita,
naeleza tena mwaka huu, ili asijekutokea mtu akaanza kulalamika ooh mtaalamu mbobevu wa masuala ya siasa mbona hukusema haya mapema n.k. chukua point hiyo sasa.

Na kwa maelezo na uchambuzi wa kina zaidi, nitaeleza kinagaubaga katika wakati muafaka 🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Mlishakubaliana na Mungu kuwa jamaa atakuwepo hio 2030-2035? Duniani tunapita tu wakati wowote mwendo tunaumaliza. Amen.
 
Mlishakubaliana na Mungu kuwa jamaa atakuwepo hio 2030-2035? Duniani tunapita tu wakati wowote mwendo tunaumaliza. Amen.
unatumia akili, Neema na Baraka za Mungu kufikiri na kuandika lakini unadiriki kumkufuru.

kwani kuna alie wahi kuambiwa na Mungu atachukuliwa kesho gentleman?

Huenda hujajiwekea malengo hata ya mwaka huu mpya wa 2025 gentleman.

Kesho na keshokutwa yako anaijua Mungu pekee, na wala hajakukataza kupanga mambo yako ya miaka20 ijayo.

Ukiamini ushirikina unakua huna uhakika kabisaa na kesho yako like you 🐒
 
Ningependa kusisitiza jambo hilo kwa wadau wote wa JF na kama familia, kwamba agenda ya Taifa letu kwa mwaka 2030-2040 itakua ni Dr. Emmanuel Nchimbi. Ni muhimu kujipanga vyema nyuma ya huyu muungwana mzalendo.

Nilishaeleza haya miaka iliyopita,
naeleza tena mwaka huu, ili asijekutokea mtu akaanza kulalamika ooh mtaalamu mbobevu wa masuala ya siasa mbona hukusema haya mapema n.k. chukua point hiyo sasa.

Na kwa maelezo na uchambuzi wa kina zaidi, nitaeleza kinagaubaga katika wakati muafaka 🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Wewe ndiye unayeset agenda za taifa?

Hata wewe mwenyewe ulishiriki kujadili na kutunga hoja za agenda ya kitaifa ya Lisu.

Oktoba haiko mbali. Tunaendelea mlipoishia ninyi
 
unatumia akili, Neema na Baraka za Mungu kufikiri na kuandika lakini unadiriki kumkufuru.

kwani kuna alie wahi kuambiwa na Mungu atachukuliwa kesho gentleman?

Huenda hujajiwekea malengo hata ya mwaka huu mpya wa 2025 gentleman.

Kesho na keshokutwa yako anaijua Mungu pekee, na wala hajakukataza kupanga mambo yako ya miaka20 ijayo.

Ukiamini ushirikina unakua huna uhakika kabisaa na kesho yako like you 🐒
Haya maneno ulipaswa kujiambia wewe unaepanga nani awe nani nchi hii miaka 5-10 ijayo. Mimi sijui hata kesho kama nitakuwepo hivyo ndio nakuuliza wewe ulishakubaliana na huyo Mungu ulientaja kuwa huyo unaempambania atakuwepo hip 2030?
 
2025 CCM inaangukia kirahisi sana.
Rais ni Mwanaume, Mkristu, Mkatoliki Toka Bara.

Naomba uichukue kama reference!!

Mama atarudi Kizimkazi kupunzika!!!

Ni ngumu kumeza kwako,lakini ni dawa!!
waelezee wadau vizuri huo ubaguzi wako wa kdini huenda mkaelewana 🐒
 
DR. Emmanuel Nchimbi ndiyo agenda ya taifa kwa mwaka 2030-2040.

Iwapo fomu zitatolewa nyingi na ccm, na upigaji WA kura,uwe sawa na uchaguzi alio usimamia Freeman Mbowe
 
Back
Top Bottom