Enter Passcode
JF-Expert Member
- Mar 1, 2024
- 479
- 942
Asante sana mkuu 🙏🙏🙏ufanikiwe ndugu yangu.
Asante sana,kwa sasa niko totally broke, ni ngumu kupata hicho kiasi, #bdo napambana mkuu• Mungu mwema mkuu,
• Ila kama una ka laki 400000 - 500000/- hivi mfukoni, jiajili mwenyewe mkuu,
Nataka uwe mlinzi wangu. Salary 100,000 per month.Habari!
Rejea kichwa cha habari,
Jinsia;Me
Umri;28 yrs old
Mafunzo;JKT
Uzoefu wa kulinda;3yrs
Vituo nivyolinda;Julius Nyerere hydropower project (JNHPP),some of TRA offices &some of petrol stations
Elimu;kidato cha 6, chuo but #dropuot, pia ninacho cheti cha clearing &forwarding kutoka chuo cha usimamizi wa kodi (ITA),kama naweza pata intern niko tyr
lugha;Fresh (kawaida),English &kiswahili
Makazi;Kimara-dsm
niko tyr kupangiwa kazi sehemu yoyote
Asanteni sana.
Achana na hizo mbishe dogo utazeeka masikini Bora uwe kuli sokoni,uendeshe guta au toroli tatizi hampendi kuchafuka na kufanya kazi ngumu ndo maana mnakukuwa mitaji ya kuwasindikiza wenzenu kwenye utajiriHabari!
Rejea kichwa cha habari,
Jinsia;Me
Umri;28 yrs old
Mafunzo;JKT
Uzoefu wa kulinda;3yrs
Vituo nivyolinda;Julius Nyerere hydropower project (JNHPP),some of TRA offices &some of petrol stations
Elimu;kidato cha 6, chuo but #dropuot, pia ninacho cheti cha clearing &forwarding kutoka chuo cha usimamizi wa kodi (ITA),kama naweza pata intern niko tyr
lugha;Fresh (kawaida),English &kiswahili
Makazi;Kimara-dsm
niko tyr kupangiwa kazi sehemu yoyote
Asanteni sana.
Usijali mkuu, pambana 💪💪🙏🙏Asante sana,kwa sasa niko totally broke, ni ngumu kupata hicho kiasi, #bdo napambana mkuu
Nataka uwe mlinzi wangu. Salary 100,000 per month.
Note: Lazima ulete criminal record clearance certificate toka Police Force machinaries.LMip
Ninayo,nmeipata pale wizara ya mambo ya ndani;0756061623Nataka uwe mlinzi wangu. Salary 100,000 per month.
Note: Lazima ulete criminal record clearance certificate toka Police Force machinaries.
ninayo tayari,&it is negativeNataka uwe mlinzi wangu. Salary 100,000 per month.
Note: Lazima ulete criminal record clearance certificate toka Police Force machinaries.
Hebu nichanganulie hiyo laki kwa mwezi itakidhi vipi mahitaji yako usije badae kuhangaisha ndugu waje wakutolee dhamani kisa upotevu wa mali?Ninayo,nmeipata pale wizara ya mambo ya ndani;0756061623
ninayo tayari,&it is negative
Ataipeleka kanisaniHebu nichanganulie hiyo laki kwa mwezi itakidhi vipi mahitaji yako usije badae kuhangaisha ndugu waje wakutolee dhamani kisa upotevu wa mali?
Kufanya nini au kuiombea ijae?Ataipeleka kanisani
Ukweli mchunguHebu nichanganulie hiyo laki kwa mwezi itakidhi vipi mahitaji yako usije badae kuhangaisha ndugu waje wakutolee dhamani kisa upotevu wa mali?
Fungu la 10, zaka na sadaka kibunda kimekataKufanya nini au kuiombea ijae?
Duuu noma sana mkuuFungu la 10, zaka na sadaka kibunda kimekata
Mkuu niko kwenye point of no returnDuuu noma sana mkuu
Hapo bado una Deni unadaiwa la michango mingine unawekewa negativeDuuu noma sana mkuu
Dogo jichanganye mtaani before hujachelewa maana ukigonga thirty ukiwa unafanya hiyo kazi rasmi utakuwa ushafeli na umeshakuwa manamba rasmi wa mabwanyenyeUkweli mchungu