X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
Worry out ndugu yanguMkuu nimepita pm kwako ukiwa na time nicheki kuna inshu nataka tuongee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Worry out ndugu yanguMkuu nimepita pm kwako ukiwa na time nicheki kuna inshu nataka tuongee
Pambafu mwezio hata kuwa mlinzi wa kawaida ....anataka mashirka ya maana G4S Mshahara laki tano......Nataka uwe mlinzi wangu. Salary 100,000 per month.
Note: Lazima ulete criminal record clearance certificate toka Police Force machinaries.
Ninayo,nmeipata pale wizara ya mambo ya ndani;0756061623
ninayo tayari,&it is negative
Ni 400,000/= wamepandisha siku hizi....!Naomba namimi nikushauri japo sina kitu pambana utafute laki 3 na wadhamini 4 ukishapata hiyo kazi ya ulinzi nenda kwenye makampuni ya pikipiki yanakopesha boda kwa kianzio cha laki 3 na marejesho kila siku ukimbie barabarani kazi ya boda inakupeleka sehemu nyingi ambazo unaweza ona fursa
MREJESHO.Habari, rejea kichwa cha habari.
Jinsia: Me
Umri: 28 yrs old
Mafunzo: JKT
Uzoefu wa kulinda: 3yrs
Vituo nivyolinda: Julius Nyerere hydropower project (JNHPP),some of TRA offices &some of petrol stations
Elimu: Kidato cha 6, chuo but #dropuot, pia ninacho cheti cha clearing &forwarding kutoka chuo cha usimamizi wa kodi (ITA),kama naweza pata intern niko tyr
lugha: Fresh (kawaida), English & kiswahili
Makazi: Kimara, Dsm
Niko tayari kupangiwa kazi sehemu yoyote .
Asanteni sana.
Eugenia Games Station nicheck hapa 0756061623MREJESHO.
Habar, nmepata kazi ya ULINZI, Asanteni.
Mkuu stow away (Asante sana).
Nenda FACEBOOKAnayetaka kuandikia CV nzuri anicheki inbox