Mkuu Enter Passcode Sijui hiyo miaka mitatu umelinda na kampuni gani na nini sababu yakutoka huko, kama una clean records, nicheki PM tunaweza kukusaidia hata kwa mawazo.vvm
Prince Mhando
Hao hapo waambie wakupe connection
Ongea nao hao hapo Walinzi wenzio wakupe ABC za wapi uanze na wapi umalize
PM yako IPI?Sijui hiyo miaka mitatu amelinda na kampuni gani na nini sababu yakutoka huko, kama ana clean records, anicheki PM tunaweza kumsaidia hata kwa mawazo.
Hapa hapa JF ipo wazi kiongoziPM yako IPI?
Mkuu kwenye mradi.wa jnhpp umefanya kazi kwa muda gani?Habari!
Rejea kichwa cha habari,
Jinsia;Me
Umri;28 yrs old
Mafunzo;JKT
Uzoefu wa kulinda;3yrs
Vituo nivyolinda;Julius Nyerere hydropower project (JNHPP),some of TRA offices &some of petrol stations
Elimu;kidato cha 6, chuo but #dropuot, pia ninacho cheti cha clearing &forwarding kutoka chuo cha usimamizi wa kodi (ITA),kama naweza pata intern niko tyr
lugha;Fresh (kawaida),English &kiswahili
Makazi;Kimara-dsm
niko tyr kupangiwa kazi sehemu yoyote
Asanteni sana.
waka 1,2019-2020Mkuu kwenye mradi.wa jnhpp umefanya kazi kwa muda gani?
Mwaka mmojaM
waka 1,2019-2020
Okay mkuu atakucheckHapa hapa JF ipo wazi kiongozi
Moja hakijai 2 haikaiBest wishes kijana,..ukizaliwa mwanaume ni kupambana.
Kwenye kampuni za ulinzi Kuna degree nyingi sana saiv .nyingi sana kiasi kwamba huwezi amini.
Msaada namna ya kuja pm mkuu 0756061623Mkuu Enter Passcode Sijui hiyo miaka mitatu umelinda na kampuni gani na nini sababu yakutoka huko, kama una clean records, nicheki PM tunaweza kukusaidia hata kwa mawazo.
Namna ya kuja pm tafadharPM yako IPI?
🙏🙏🙏KAma unataka hiyo kazi njoo ufanye shambani kwangu malipo ni mazuri
Laki 4 biashara gani mkuu mana mm ninayo saba hapa nataka niichange ifike million 2 lakin kama Kuna biashara tentative naweka hela kaka. Nishauri• Mungu mwema mkuu,
• Ila kama una ka laki 400000 - 500000/- hivi mfukoni, jiajili mwenyewe mkuu,
Kuna kazi hata uwe huna kazi ni mbaya tu imagine mtu unalipwa laki nauli juu yako na upo Dar."KAZI MBAYA UKIWA NA KAZI"
Kuna watu hata hyo kazi ya kulipwa laki kwa mwezi hawana.Kuna kazi hata uwe huna kazi ni mbaya tu imagine mtu unalipwa laki nauli juu yako na upo Dar.
Tatizo wanatafuta kazi rahisi rahisi tu ila kama wangejitoa kwenye kazi ngumu wangeiona hiyo laki ni sawa na kutokuwa na kaziKuna watu hata hyo kazi ya kulipwa laki kwa mwezi hawana.
vvm
Prince Mhando
Hao hapo waambie wakupe connection
Ongea nao hao hapo Walinzi wenzio wakupe ABC za wapi uanze na wapi umalize
Umefanya Jambo jema mkuu,Nimesha wasiliana nae mkuu...kwakweli inapo bidi kutoa helping hands tuwasaidieni awa wenye uhitaji😭😭😭
Mtaani pagumu sana...akifuata niliyo muelekeza huu mwezi kabla haujaisha atapata kazi...!
Na nitafurahi sana kama atarudi kutoa mrejesho...!