Nakumbushia wakuu aliye na connection ya kazi ya ulinzi (kampuni/private personel) anisaidie

Nataka uwe mlinzi wangu. Salary 100,000 per month.
Note: Lazima ulete criminal record clearance certificate toka Police Force machinaries.
Pambafu mwezio hata kuwa mlinzi wa kawaida ....anataka mashirka ya maana G4S Mshahara laki tano......

Hapo suma jkt laki tatu........we na laki moja yko mpe mmasai
 
Na we dogo acha njaa laki moja si dharau hizoooo andika subiria watu watakuja sehemu za maana
... vumulia piga hata boda boda kuliko hii taka taka inayotaka kukupa laki moja .....boda hukosi laki nne mwezi ....ukisubiria kuapply hata polisi jeshin tanapa au jeshi uhamiaji ....

Laki moja bora ukakae kwa ndugu zako tu
Ninayo,nmeipata pale wizara ya mambo ya ndani;0756061623

ninayo tayari,&it is negative
 
Ni 400,000/= wamepandisha siku hizi....!
 
MREJESHO.
Habar, nmepata kazi ya ULINZI, Asanteni.
Mkuu stow away (Asante sana).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…