Erick Kabemdera anaandika kuwa Rais Magufuli alienda sehemu anayolala Rais Samia akiwa na nguo za kulalia akiwa na lengo la kumbaka, hizi ni shutma nzito sana na zinamchafua sana Magufuli
Binafsi mimi siziamini ila wapo wanaoziamini, kwa kuwa hiki kitabu kimesomwa na watu wengi na tuhuma hizi zimewekwa public ni vizuri Rais Samia akatoka hadharani na kukemea tuhuma hizi kwa kusema sio kweli, kukaa kimya inaweza kutafsiriwa kama hizo tuhuma ni kweli ama hajali kuhusu Magufuli kuchafuliwa
Erick Kabemdera anaandika kuwa Rais Magufuli alienda sehemu anayolala Rais Samia akiwa na nguo za kulalia akiwa na lengo la kumbaka, hizi ni shutma nzito sana na zinamchafua sana Magufuli
Binafsi mimi siziamini ila wapo wanaoziamini, kwa kuwa hiki kitabu kimesomwa na watu wengi na tuhuma hizi zimewekwa public ni vizuri Rais Samia akatoka hadharani na kukemea tuhuma hizi kwa kusema sio kweli, kukaa kimya inaweza kutafsiriwa kama hizo tuhuma ni kweli ama hajali kuhusu Magufuli kuchafuliwa
Ushahri mbaya kabisa!!
Unasema kuwa wewe huamini kuwa ni tuhuma za kweli, hiyo ni sahihi kwako kwa maana ndicho unachoamini. Lakini kuamini haimaanishi unachoamini wewe ndiyo lazima kiwe cha kweli.
ila ushauri wako unaonekana wa ajabu sana pale unapomtaka Rais Samia atoke hadharani na kutangaza kuwa tuhuma hizo siyo za kweli! Kama zitakuwa ni za kweli, kwa nini akaseme uwongo kuwa siyo za kweli?
Ushauri mzuri ungemwomba Rais athibitishe kama tuhuma hizo ni za kweli ama ni za uwongo.
Note: Marehemu mara kadhaa, akiwa hai alikumbwa na tuhuma za namna hiyo, na hakuwahi kukanusha hata mara moja:
1) Alizaa na mdogo wa mkewe
2) Alizaa na mke wa mteule wake wa ubalozi
3) Kuna yule aliyepewa UDC
Nasema hizi zilikiwa tuhuma wakati akiwa hai, na wala marehemu hakuwahi kuzitolea kauli tuhuma hizo. Je, alipuuza, zilikuwa za kweli, hakuna ajuaye.
Samia ni mtu mzima, ana familia yake, kama tukio hilo lilitokea, huwezi kujua alimjulisha nani na nani, na hao watu walikuwa na uhusiano gani na yeye, wewe na mimi hatujui.
Fikitia kuwa labda tukio hilo lilitokea kweli. Samia akamjulisha mumewe, mumewe akamwambia aache huo umakamu, naye akakubali. Mstaafu Mkapa na watu wanaoheshimika kwa mumewe wa muathirika, wakamwomba sana msamaha na kumwomba akubali mkewe aendelee kuwa makamu. Mume akakubali lakini akaendelea kuumia moyoni. Ilipotokea nafasi ya kutoa ya moyoni akamweleza Kabendera kila kila kitu. Je, leo muathirika akisema kuwa tukio hilo halikutokea, unadhani mumewe atamwelewaje?
Ninaamini Rais Samia atachukua uamuzi wa hekima kwa kadiri aonavyo. Uwezekano mkubwa atakaa kimya.