Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Unateseka sana kiukweli.Mkuu au labda Poti wangu Hamisa Mobeto huwa anamfinyia kule Kusikotakiwa na Vitabu vya Dini ila ndiko Kunapendwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unateseka sana kiukweli.Mkuu au labda Poti wangu Hamisa Mobeto huwa anamfinyia kule Kusikotakiwa na Vitabu vya Dini ila ndiko Kunapendwa?
Rick Ross anakuita mkale meza mojaKula meza moja na wakina Rick Rozeee si mchezo
Mzee wangu Ushimen ali sema wale ng'ombe wame kodiwa tu vingunguti😂🤣Tumuache Hamisa wetu aitumikie Ndoa yake changa, maana sio jambo la kawaida Binti kuolewa na Fuso mbili za ng'ombe kama mahari
After all, si unajua wale ng'ombe wapo njiani saivi wanapelekwa ukweni Musoma 😜
Mkuu umeshameza dawa zako? Muda unaenda..."Aziz K kama atataka Kuona Mke wa pili Mimi Hamisa Mobetto nipo tayari kabisa kwani hata Dini yetu inaruhusu'' amesema Mke Mbichi wa Aziz K Poti wangu Hamisa Mobeto.
Chanzo: minotv_tz
Na ndiyo maana kutwa huwa Nawadharau mno Wanaume ambao wanafanya Kosa hili la Kiufundi la kwenda Kuoa Mwanamke ambaye si tu Kazaa bali ameshazalishwa na Wanaume wawili huku tena Kisirisiri bado anakutana nao kwa Kupasha Kiporo.
Na kwa Sisi wenye Saikolojia Kali ya Asili (Kuzaliwa nayo) si ya Kusomea tunajua kuwa ukiona Mwanamke wako (Uliyemuoa) anakuambia kuwa hana Shida ya Wewe sijui Kumuolea Mke wa pili au hata akiambiwa una Mahawara Nje wala Hajali jua ya kwamba nae pia Anabanduliwa kisawasawa hivyo hapo Watu wa Betting (Kamali) tunamalizia kwa kusema kuwa hiyo ni G - G yaani both Teams to Score.
Kudadadeki Aziz K hakuna Rangi utaahcha kuiona kwa huyo Mkeo ambaye hata akulipae Mshahara TZA anambandua.
Hamisa mobeto ni chakula cha wanaume wote wenye pesa zao Hapo Daslamu"Aziz K kama atataka Kuona Mke wa pili Mimi Hamisa Mobetto nipo tayari kabisa kwani hata Dini yetu inaruhusu'' amesema Mke Mbichi wa Aziz K Poti wangu Hamisa Mobeto.
Chanzo: minotv_tz
Na ndiyo maana kutwa huwa Nawadharau mno Wanaume ambao wanafanya Kosa hili la Kiufundi la kwenda Kuoa Mwanamke ambaye si tu Kazaa bali ameshazalishwa na Wanaume wawili huku tena Kisirisiri bado anakutana nao kwa Kupasha Kiporo.
Na kwa Sisi wenye Saikolojia Kali ya Asili (Kuzaliwa nayo) si ya Kusomea tunajua kuwa ukiona Mwanamke wako (Uliyemuoa) anakuambia kuwa hana Shida ya Wewe sijui Kumuolea Mke wa pili au hata akiambiwa una Mahawara Nje wala Hajali jua ya kwamba nae pia Anabanduliwa kisawasawa hivyo hapo Watu wa Betting (Kamali) tunamalizia kwa kusema kuwa hiyo ni G - G yaani both Teams to Score.
Kudadadeki Aziz K hakuna Rangi utaahcha kuiona kwa huyo Mkeo ambaye hata akulipae Mshahara TZA anambandua.
Nampenda pia.Hamisa mobetto anamtesa sana popoma. Kila siku anaweweseka poti poti poti..!
We acha tu Mkuu.....!!!!!!!Unateseka sana kiukweli.
Kisha ndipo uje Maghettoni nilipo ili 'Nikubandue' vizuri au?Mkuu umeshameza dawa zako? Muda unaenda...
Mi nimekuuliza kama ushakunywa dawa zako mkuu... Kukumbusha sio dhambi bana!!Kisha ndipo uje Maghettoni nilipo ili 'Nikubandue' vizuri au?
Aziz K alioa wadada wote wa Dar maana wote walikuwa na muonekano wa bibi harusi. Ila wanaume wamemkasirikia mwambaHii ndoa inatesa watu wengi loh
Adui ya mwanamke ni mwanamkeNi wa kuonewa huruma mpaka limbwata liishe atakuwa ameshachelewa.
Kuna wanawake ukizubaa wanakutia kwenye kibuyu unaenda kama zezeta tu
Kwa Hii kauri ni dhahirishairi hakuolewa kwa kumpenda K,Aziz bali kwa kufanya biashara ya mwili katika ndoa! Kwa maana anamuuzia mwili K,Aziz mwili bila ya yeye kufahamu!Pia kimtazamo K,Aziz ni kijana mdogo mfanikio makubwa kayapata Tanzania pia ni mwanaume asiyejiamini labda kwa maumbile yake ujiona yeye kupendwa ni nadra sana! Pia yawezekana katika mapito yake ya mahusiano yake katika mafarakano kitu ambacho wamekuwa wakikitumia kama fimbo wanawake wake wengi ni maumbile yake ya mudomo! Hila hakustahili kuoa mwanamke kama Hamisa japo sisi hatuwezi kumuamlia chochote juu ya nani ampende!!!"Aziz K kama atataka Kuona Mke wa pili Mimi Hamisa Mobetto nipo tayari kabisa kwani hata Dini yetu inaruhusu'' amesema Mke Mbichi wa Aziz K Poti wangu Hamisa Mobeto.
Kisha ndipo uje Maghettoni nilipo ili 'Nikubandue' vizuri au?Mi nimekuuliza kama ushakunywa dawa zako mkuu... Kukumbusha sio dhambi bana!!