Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwanini msimwambie Kibatala?View attachment 1566393
Haiwezekani vijana hawa wasoteshwe jela kwa makosa yenye dhamana kwa sababu ya matakwa ya Biswalo Mganga na waliomtuma , hawa vijana hawana kesi yoyote ya maana ya kufanyiwa unyama huo.
Tundu Lissu tafadhari sana ingilia kati jambo hili wewe mwenyewe binafsi ili limalizike , unyama huu haukubaliki
Natanguliza Shukrani .
kuimba wimbo wa Taifa huku wakipandisha bendera ya chadema , yaani ni shitaka la kipumbavu sijawahi onaWameshtakiwa kwa makosa gani!?
ama tuhuma zao zinahusiana na nini?
Ndio maana mimi napinga ujinga unaoitwa maridhiano28/10/2020
Huyo bwana Bi swalo maganga ruti zake zitakuwa mchana kisutu kulala segerea ni kufungulia kessi kama 366 hivi maana jamaa ni shetani haswa
Huko kitu hatukitaki kabisaa kuanza kukaa na kubagein na wauaji na wanyang'anyi sio afya kwa nchiNdio maana mimi napinga ujinga unaoitwa maridhiano
Lakini si unaona ilisaidia kumtoa kuota mdogo za kishetani?Mfumo mzima wa sheria umeoza, ndo mana kama nchi tunatakiwa kufanya mabadiliko makubwa sana ya kisiasa.
Angalia issue ya Lema alikaa mahabusu mda gani?
Ni vitendo vinavyojirudia na vitaendelea kujirudia
Vipi bwashee leo Mpo wapi na mgombea?CCM wanajitafutia laana kwa mambo kama haya!! Na ndiyo maana wanapata adhabu ya kuwasomba watu kwenye malori..ili walau wajae jae kwa mikutano yao...laana ya kutesa nafsi ya mtu haina tofauti na uchawi...ni laana mbaya mno ambayo huzaa roho ya kukataliwa!!
Ushauri wako ni mzuri sanaLissu akipita mlipe kisasi sasa,
mbona mnamtesa sana?pesa za kampeni atafute yeye,sera atunge yeye,waandishi aongee nao yeye,bado tu mnampa kesi asimamie,kampeni atafanya saa ngapi?Tundu Lissu tafadhari sana ingilia kati jambo hili wewe mwenyewe binafsi ili limalizike , unyama huu haukubalik
lissu kumuunga mkono sefu sio maridhiano?Ndio maana mimi napinga ujinga unaoitwa maridhiano
kosa kubwa sana hilokuimba wimbo wa Taifa huku wakipandisha bendera ya chadema , yaani ni shitaka la kipumbavu sijawahi ona
Kama kweli ni kosa lenye dhamana kwa nini hawapewi dhamana. Ni kosa gani wanaloshitakiwa nalo. Hatupendi watu kuonewa hapa Tanzania.View attachment 1566393
Haiwezekani vijana hawa wasoteshwe jela kwa makosa yenye dhamana kwa sababu ya matakwa ya Biswalo Mganga na waliomtuma , hawa vijana hawana kesi yoyote ya maana ya kufanyiwa unyama huo.
Tundu Lissu tafadhari sana ingilia kati jambo hili wewe mwenyewe binafsi ili limalizike , unyama huu haukubaliki
Natanguliza Shukrani .
Tundu ndio nani nchi hii??View attachment 1566393
Haiwezekani vijana hawa wasoteshwe jela kwa makosa yenye dhamana kwa sababu ya matakwa ya Biswalo Mganga na waliomtuma , hawa vijana hawana kesi yoyote ya maana ya kufanyiwa unyama huo.
Tundu Lissu tafadhari sana ingilia kati jambo hili wewe mwenyewe binafsi ili limalizike , unyama huu haukubaliki
Natanguliza Shukrani .
Kumbe walitaka kuanzisha jamhuri yao ya ufipa? Hujui huo ni kama uhaini?kuimba wimbo wa Taifa huku wakipandisha bendera ya chadema , yaani ni shitaka la kipumbavu sijawahi ona
Lissu ni Rais wa nchi hii baada ya uchaguzi wa 28 octoberTundu ndio nani nchi hii??