Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Astaghafirlah!!!!Mkuu.@Wa kusoma Pole sana je umeshakwenda hospitali kuwaona Madaktari? Mimi ninakupa Dawa yangu ya Asili kila Asubuhi unapo amka kabla ya kula kitu kojoa mkojo wako uweke kwenye mdomo wako kwa dakika chache kisha uteme fanya hivyo kwa muda wa siku 3 utapona inshallah usikose kwenda hospitali. Jaribu kisha uje unipe Feedback.
...with all due respect, Mamndenyi,mkojo !!??, ule wanasemaga wa punda tu unanishinda...
... daah yakikufika huchagui kabila,kila lugha utaijua tu,mengine urembo tu... naunga mkono hoja ila kwa taaabu sana kama kwa 50.1%....Gefu miaka ya 80s nikiwa mkoa fulani huko kusini
ofisi moja kubwa sana gonjwa lilichachamaa wakawa wanapukutika kama kuku wa kideri
mmoja kawadokeza kuhusu tiba ya mkojo, unaambiwa wao waliona kama ule mkojo wa asubuhi hautoshi
ikabidi waweke vikopo chooni kila mmoja na alama ya kopo lake, kila akienda kukojoa anakinga na kuunywa.
ilikija unakuwa mdogo kama kapriton na unakuwa hauna ujanja tena.
hivi wewe una akili kweli hapa ni hospitali hapo ulipo hakuna hospitali nenda hospitali acha ujinga wewe pumbavu sana
wa kusoma kamuone daktari wa kinywa au daktari wa masuala ya vidonda hurry b4 things get worse usidhara.Kuna kijiupele hiki kimenitokea upande wa chini ya mdomo, kinaniuma sana nini dawa yake jamani?
Huwa sio mara ya kwanza kinakuja hlf baada ya muda kinapotea na kurudi tena. Nipeni tiba wadau.
Kuna kijiupele hiki kimenitokea upande wa chini ya mdomo, kinaniuma sana nini dawa yake jamani?
Huwa sio mara ya kwanza kinakuja hlf baada ya muda kinapotea na kurudi tena. Nipeni tiba wadau.