Nakuomba uchukue time kuangalia hii picha hlf unipe ushauri.

Nakuomba uchukue time kuangalia hii picha hlf unipe ushauri.

Nini? Mkojo?
Ndio ni Mkojo
Maana una chumvi hasa ule asubuhi alivyosema Mzizi mkavu ni sahihi hata Mama Terry angekuwepo ngekuanishia
Au chukua maji ya uvuguvugu yenye chumvi sukutua kila subuhi na kipande cha kitambaa safi ulichofungia chumvi hapo chini ya jino.
huo ugonjwa ni upungufu wa Vitamini fulani sikumbuki ni ipi nitakutafutia siku ingine wa member watakuelewesha
 
Last edited by a moderator:
Hiyo kawaida haina haja ya hospital ishantokeaga tena nlikuwa kijijini kwa bibi..bi mdasha akanipa mananasi na machungwa kwa siku tatu unakula mchana na jioni..nkapona seriously aint bluffing

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForu
 
Kama kinakutokea kwa siku 2 au 3 na kupotea, si tatizo. Kama kinakutokea na kinabaki muda mrefu hata miezi; ni ishara unapungukiwa na vitamin C mwilini, kama ni hivi:

1. Pata juisi ya ubuyu kikombe 1 asubuhi na 1 jioni (tengeneza mwenyewe, usiweke rangi rangi au takataka zingine tofauti na sukari na chumvi ya mawe punje 3 ktk kila kikombe).
2. Kila unapoenda kulala, lamba asali vijiko 2
3. Kila chakula unachokula ongeza kijiko 1 cha unga unga wa mti wa mlonge (kwenye sahani ya chakula)
4. Pata multivitamins nzuri, meza kidonge 1 kila umalizapo kula
5. Chungwa 1 kwa siku si vibaya.

Mhimu:
1. Kumbuka kunywa maji ya glasi 2 kila nusu saa kabla ya chakula cha asubuhi, mchana na jioni. Kunywa tena maji glasi 1 kila masaa 2 baada ya chakula cha asubuhi, mchana na jioni.
2. Epuka caffeina(chai ya rangi, kahawa, red blue, malta, cocacola, azam cola, sayona nyeusi) na soda au kinywaji chochote cha kiwandani.
3. Epuka tumbaku zote, fanya mazoezi na pata muda wa kupumzika siyo unasoma tu masaa yote kama mimi muda huu ni saa saba usiku nimetingwa nakuandikia hapa, ehe! ngoja nikalale.

Fanya kwa mwezi 1, mengine ni PM
 
Asiku danganye mtu hicho kipele kina sababishwa na mtu kukosa matunda wewe jiweke ratiba ya kula matunda then utaniambia kama kitakuja tena hicho kipele
 
Asiku danganye mtu hicho kipele kina sababishwa na mtu kukosa matunda wewe jiweke ratiba ya kula matunda then utaniambia kama kitakuja tena hicho kipele

Asante sana mkuu, ngoja nianze dozi ya matunda daily.
 
Mkuu.@Wa kusoma Pole sana je umeshakwenda hospitali kuwaona Madaktari? Mimi ninakupa Dawa yangu ya Asili kila Asubuhi unapo amka kabla ya kula kitu kojoa mkojo wako uweke kwenye mdomo wako kwa dakika chache kisha uteme fanya hivyo kwa muda wa siku 3 utapona inshallah usikose kwenda hospitali. Jaribu kisha uje unipe Feedback.

Achana na uchizi huu , mwenzio anaumwa wewe unamletea mambo ya mikojo ?
Kwani madakatari waliweka wa nini , achana na kuingilia taaluma za watu au wewe ni Dokta Ndodi , maana na nyie waganga wa jadi muna mambo
 
Thats fungi at work,its just a common thing which occured due to drinking contaminated water,nothing to wory because they have ocured to me several times and the medicine is just antibiotics, depending on the area you are(refering to the tempereature) u better see the doctor for the further explanation... again there is nothing to worry about...
 
mkuu acha kuchangia kikombe kimoja na huyo unaye ishi naye. na wote unaoishi nao kama mnachabgia kikombe cha maji na wenyewe watakua wanaumwa huo upele kama wewe. chemsha maji kabla ya kunywa/kunywa maji salama na usipende kuchangia kikombe. ukifanyia kazi hayo utapona wala hautarudi tena. usichangie hata kijiko bora ule kwa mkono. mia
 
Achana na uchizi huu , mwenzio anaumwa wewe unamletea mambo ya mikojo ?
Kwani madakatari waliweka wa nini , achana na kuingilia taaluma za watu au wewe ni Dokta Ndodi , maana na nyie waganga wa jadi muna mambo
Wewe unaona ni uchizi mimi nimetoa dawa? cc Wachovu ngojea na wewe upate kuumwa na uende hospitali utibiwe usipopona, nitakwambia unywe mkojo wako ndio utapona na hapo ndipo utaona kuwa mkojo ni Dawa sio uchizi wako. Kusema kitu wakati hukijuwi kuwa ni dawa acha ubishi wako wa Simba na Yanga tembelea hapa uone faida za kunywa mkojo wako bonyeza hapa https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/203168-umetenda-maajabu-siwezi-kueleza.html
 
Last edited by a moderator:
Wa kusoma tumia amoxlyn itasaidia kukausha kidonda. Ila nakushauri uende hospitali kwa msaada zaidi
 
Last edited by a moderator:
ndugu kuna ugonjwa wa herbes hasa marekani na ulaya, ni virus. niugonjwa kama ukimwi hauna tiba wala dawa.
pole sana cha msingi kuwa msafi na kamwone daktari si dhani kama madaktari wa afrika wanajua ugonjwa huu
jaribu ku-google
herpes virus
 
hivi vidude huwa nami vinanitoka, na baadae kupotea... ntafanya kama alivyoshauri Mzizi Mkavu
Kuna kijiupele hiki kimenitokea upande wa chini ya mdomo, kinaniuma sana nini dawa yake jamani?
Huwa sio mara ya kwanza kinakuja hlf baada ya muda kinapotea na kurudi tena. Nipeni tiba wadau.
 
Last edited by a moderator:
huwa unanyonya mashine ya mwenz wako? acha mara moja, deal na vitamins na onana na wataalm
 
Hunitokea sana hiyo. husababishwa na kujigonga na mswaki.
Bahati mbaya reaction hutokea baada ya kama siku tatu hivi.
Dawa yake ni asali hakikisha unakaa nayo kwa dakika zisizopungua tano.
Paka mara kila mara unapomaliza kula chochota au baada ya kunywa maji.
ukiwahi kupaka asali muda mfupi tuu baada ya kujikwaruza/kujigonga na mswaki inakuwa bora zaidi kwani haitofikia hatua ya kutokea kidonda/kipele. ila hata ukipaka baada ya kujitokeza huchukua kama siku mbili hivi kupona.
 
Back
Top Bottom