Mkuu unawezekana sio tatizo kubwa. Lakini dalili za kansa huanza hivi hivi... Kansa hutibika ukiwahi hospitali. Pamoja na ushauri wa dawa mbalimbai unaopewa huku, hebu jali afya na maisha yako kwa kwenda kumuona Dr kwanza...
Kuna kijiupele hiki kimenitokea upande wa chini ya mdomo, kinaniuma sana nini dawa yake jamani?
Huwa sio mara ya kwanza kinakuja hlf baada ya muda kinapotea na kurudi tena. Nipeni tiba wadau.