Uchaguzi 2020 Nakuonya Tundu Lissu kuelekea uchaguzi mkuu 2020

Mwaka huu lazima tuwashikishe adabu wakoloni wa kijani!

October 28 tunamwaga pombe chini, mkiiba kura tunawachinja!

Sanduku la kura liheshimiwe, otherwise tutapita na kichwa cha mtu

Uvumilivu sasa basi!
Hii kazi hasa ndio taaluma yenu na sio uongozi wa nchi.kama mnafkia hatua ya kujichomea ofisi yenu ya Arusha ili kutafuta like kwa wananchi..mnaweza hata kuchoma nchi yote..Subiri ni zawadi yenu kwenye sanduku la kura..msitufanye watanzania wajinga nyinyi majuha. Mtu ana piga risasi upande wa kushoto halafu mguu unaovunjika wa kulia eti risasi imepiga kona..Hii ndio kazi mnayoiweza
 
Alisema hatakubali kushindwa wapi ,,
 
Issue iwe Lissu kumjibu katambi
 
watakao ingiza taifa hili kwenye machafuko ni ccm na wameshaanza,Raisi ni Lisu 2020
 
Kwa nini vijana wa green mnajifanya miungu? Mkiona kidogo mnashindwa hoja lazima mtukane ama muwajulishe wenzenu kuwa nyie chama chenu kinalindwa! Hivyo mtashinda tu!
 
Huyu jumajuma ni nani mbona leo kakazana sana?
Kwanini watu fulani wanachukulia kuambiwa hawajafanya kitu ni matusi? Hivi vijana wa hawa mnajua maana ya matusi?
Anayetaka kuleta vurugu Tz anajulikana siku nyingi na siyo TAL ni wale wasiojulikana na wanaorusha mawe na kuchoma ofisi na inajulikana ni nani anawalipa hawa!
Mungu ibaraki Tanzania
 
Kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani ndiyo kuleta vurugu, CCM inawanyanyasa wapinzani ikizani watavumilia milele, hakuna mabaya yasiyo na mwisho.
 
Wewe unaendelea kuvuta Bangi mpaka lini? Cyprian Musiba amekukaririsha upumbavu wake mpaka na wewe umekuwa zezeta zuzu, huna unachokijua zaidi ya kushinda ukivuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoni
 
Aah kumbe na wewe shoga mama. sorry nimekugusa
Wewe ndiyo shoga iweje Tabia zako za kupakatwa huko gheto kwa cyprian Musiba unazileta mitandaoni? Watetezi wa CCM mkiishiwa Hoja mnakuja na ujinga wa kuvuruga mada
 
Walikuwepo akina Iddy Amin Dada, Sadam Hussein, Bokasa, Gadafi, mabutu, chiluba, Abacha, Nkurunzinza, Albashiri na wenzao leo wapo wapi? Hakuna mabaya yasiyo na mwisho
 
Hakuna Cha kuchagua maendeleo ya vitu tunataka maisha Bora, elimu Bora, barabara n.k
 
Nani amekudanganya kwamba tutachagua mmaendeleo ya vitu
Maendeleo siyo Hisani za CCM, maendeleo siyo pesa binafsi toka mfukoni mwa mtukufu, maendeleo ni pesa za walipa kodi ambao wengi ni wapinzani na watanzania wengine wasio na vya vyama
 
Hakuna Cha kuchagua maendeleo ya vitu tunataka maisha Bora, elimu Bora, barabara n.k
Kwenye miradi yote mikubwa kuanzia ununuzi wa Ndege wanaccm wamefanya ufisadi wa kutisha mno kila kona kuna 10% zao wanaccm ni wanufaika wa kila miradi mikubwa Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…