Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
NakaziaMidosho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaMidosho
Nitafutie bcSiuzi mm mkuu usinielewe vibaya
Acha wapigwe mkuuMtu ukimwambia cheap anaona feki. Hapo anacheza na maneno ya kibiashara tu.. "quality!" "We care your money 💰"!. "Service 24 hours" wakat tunajua kabisa huwez kuagiza kitu kama hiki saa 8 usiku, so ukilala na sisi supplier tunalala.
Sasa raba ndo zitanipa ugali mezani?Wazee mpooo! Hiz raba mara ya mwisho tulipata tenda mwanza tukazituma. Kali sana na kuzugia zugia zinafaa
Size kuanzia 32 mpaka 43
Boksi zinakaa 24 na kila moja inauzwa elfu 10 kwa mchina so boksi lake ni 240k
Duka la mchina linapatikana mtaa wa Narungombe na Kongo (Kariakoo) na mchina mwenyewe anaitwa "MA HUWA" yuko floor ya kwanza.. ukifika mazingira hayo muulize machinga yoyt3 kuwq unaenda kwa mchina anaitwa "Maua"
Kwa hiyo mkuu huoni kama ugali ni variable hapo?.. mbona mnanipa shida wakuu mpaka nikomae sura au vipi?Sasa raba ndo zitanipa ugali mezani?
Nliwah kupiga mshindo siku flan kilo nzima. Bi mkubwa ukimpeleka sehem belo laki 4 anakataa anataka zile za laki 7 nikambeba nikampeleka kwenye belo laki 580 tukamuuzia laki 7.Acha wapigwe mkuu
Nenda shamba la bibi! Kariakok pale Msimbazi B mwendokas kuna ghorofa pale imeandikwa Hong Kong Hotel. Mkabala wake sasaChimbo la yebo yebo na vile vi ndala vya kina dada pamoja na bei zake tafadhali.
Converse wanauzaje?Mara nyingi/zote viatu vyeusi havichanganwyi na rangi nyingine.. hata converse huwaga hivyo. Ila hizi rangi nyingine ndo zinachanganywa. So nyeusi huwaga peke yake! Hivi huchanganywa na nyeupe na rangi nyingine
Hii hii ukiikuta kariakoo reja ni 25. Na kwq mchina huwez kupelekwa kirahis. So nimeandika hapa vijana wajiongeze! Ajira zipo ila zina wenyewe
Bei ya jumla convers ni 12 pale na zinakaa 24. Black zinajitegemeaConverse wanauzaje?
Hiz wengine wanaitaga canvasConverse wanauzaje?
Yaan elf 10 iende mpaka laki na 70? Watu sio wajinga mkuuInategemea mkuu, wengi watu kitu kikiwa na bei chini tunatia waswas kwenye ubora. Hiz ukiwa mfanyabiasara kama unauzia sinza unazipiga splash unaziweka kwenye boksi unauza laki na 70
Nenda shamba la bibi! Kariakok pale Msimbazi B mwendokas kuna ghorofa pale imeandikwa Hong Kong Hotel. Mkabala wake sasa
Kuna jamaa ana duka la viatu kariakoo elfu 45 yeye anakuuzi laki 120 temekeYaan elf 10 iende mpaka laki na 70? Watu sio wajinga mkuu
Unanunua brand mkuu.. kwan hii ukiikuta gucci mall unahis utauziwaje? Kadiria tuYaan elf 10 iende mpaka laki na 70? Watu sio wajinga mkuu
Kwa elfu 10 unategemea kudumuje?zinadumu?
Hawazijui hiziKuna jamaa ana duka la viatu kariakoo elfu 45 yeye anakuuzi laki 120 temeke
Niliwahi nunua kama hiyo 130k sijui kama ndo bei yake ama nilipigwa.Kuna watu huwa wanasupply au kuuza vifaa vya ulinzi! Nani anaijua hii tochi?. Tochi hii wanatumia walinz kupiga shoti watuhumiwa.. je bei yake kias gan?