Nakupa chimbo la raba hii Kariakoo, elfu 10 tu bei ya jumla

Tufanye hivi WA mikoani ukiitaji kitu nitafute nitakutumia kwa uaminifu mno.nitakutafutia chimbo la quality na bei nafuu.
Kama uko serious njoo pm.
Nina mambo yangu mengi ila nimeona wengi wanalalamika wanaoogopa kuutapeliwa.
Sasa kiongozi kwann usiweke code wazi ya chimbo lilipo kama wengine wanavyofanya mambo ya pm ndo utapeli wenyewe kama ww ndo mwenye duka sawa weka pia sehemu lilipo mtu aje
 
Tufanye hivi WA mikoani ukiitaji kitu nitafute nitakutumia kwa uaminifu mno.nitakutafutia chimbo la quality na bei nafuu.
Kama uko serious njoo pm.
Nina mambo yangu mengi ila nimeona wengi wanalalamika wanaoogopa kuutapeliwa.
mm nitakua transporter wako, ntakua napeleka mizigo pale jangwani/kidongo chekundu kwa ajili ya kutuma kwa mteja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…