Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,497
- 3,823
Hata wewe mchina yakupasa kulipia tangazo lako🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hii ulifatilia? Unaweza angusha mrejesho kaka?
Makuku hujambo?Hata wewe mchina yakupasa kulipia tangazo lako🤣🤣
Sasa kiongozi kwann usiweke code wazi ya chimbo lilipo kama wengine wanavyofanya mambo ya pm ndo utapeli wenyewe kama ww ndo mwenye duka sawa weka pia sehemu lilipo mtu ajeTufanye hivi WA mikoani ukiitaji kitu nitafute nitakutumia kwa uaminifu mno.nitakutafutia chimbo la quality na bei nafuu.
Kama uko serious njoo pm.
Nina mambo yangu mengi ila nimeona wengi wanalalamika wanaoogopa kuutapeliwa.
Kwa chimbo la vifaa vya simu
Charger,glass protector iPods etc nicheki .
Duka linaitwaje kiongoziKuna chimbo moja lipo masasi na likoma simu bei nzuri kabisa. Imagine infinix kama hiyo ni laki na 10 tu
Dah jamaa chawa aisee😅😅Hakuna za kijani au njano nataka rangi za ccm au yang
Ghorofa mpya, wew ulizia ghorofa mpya alafu shuka underground utakutana n watu wanajumua kibao humoDuka linaitwaje kiongozi
ndio rangi nazopendaDah jamaa chawa aisee😅😅
Bila Shaka wew ni Mjumbe wa mtaandio rangi nazopenda
ndio natakaa kugombea ubaloz wa nyumba kumi kwazBila Shaka wew ni Mjumbe wa mtaa
mm nitakua transporter wako, ntakua napeleka mizigo pale jangwani/kidongo chekundu kwa ajili ya kutuma kwa mteja.Tufanye hivi WA mikoani ukiitaji kitu nitafute nitakutumia kwa uaminifu mno.nitakutafutia chimbo la quality na bei nafuu.
Kama uko serious njoo pm.
Nina mambo yangu mengi ila nimeona wengi wanalalamika wanaoogopa kuutapeliwa.
Hqya wananunua majora wanashonesha kwa mafundi. Mwamba mwambani Lamomy anazishoneaga tandamti paleLamomy Kalaga Baho Nongwa
Vile vijora vya vitambaa wanauza 7500 kariakoo wao wananunulia wapi
Chimbo lao
MombasaLamomy Kalaga Baho Nongwa
Vile vijora vya vitambaa wanauza 7500 kariakoo wao wananunulia wapi
Chimbo lao
Zile sweat za jeshi mombasa bei yake kias ganYeaahh 🤣🤣
Muuza vijora maarufu hapa, mama la mama.!
Hivyo tunatoa Mombasa
Oi mzee! Hamna chimbo la viatu vya ofisini vya bei chee? Na geans original napata kwa bei gani? Maana kila nikinunua hazidumu Kalaga Baho NongwaZile sweat za jeshi mombasa bei yake kias gan
AsanteKiatu cha ofisin standard bei ni 80k
Jinzi tafuta jamaa wanaitwa Ylb collection wapo muhonda na congo