Nakupa chimbo la raba hii Kariakoo, elfu 10 tu bei ya jumla

Sasa raba ndo zitanipa ugali mezani?
 
Converse wanauzaje?
 
Kuna watu huwa wanasupply au kuuza vifaa vya ulinzi! Nani anaijua hii tochi?. Tochi hii wanatumia walinz kupiga shoti watuhumiwa.. je bei yake kias gan?
Niliwahi nunua kama hiyo 130k sijui kama ndo bei yake ama nilipigwa.

Yote Kwa yte hazidumu mkuu.sitarudia kuwaka zinawaka balaaa but betri kimeo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…